Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Na wewe ni mtaalamu wa mambo ya IQ kuzidi FaziaFoxy aka "Pedagogist at Heart"? Dr. Mo. Please! Au na wewe ni wale madoctor wa mambo ya Nyota?
Hivi watu wengine huwa mnasoma mnachoandika kweli..?!
 
Nakubali utafiti huu kwa asilimia nyingi kwa sababu wabongo wengi wapo kimzaha zaidi na kufuatilia walipovuruga watu fulan ili wapate ya kujadili.. Nashauri ni bora kujenga hoja kuliko kuchambua hoja za wengne ili upate udhaifu halafu ndio nawe uwe kipa umbele wa kuongea
 
mbona wanaccm wengi hawawezi kujenga hoja zaidi ya mipasho? hata dr kikwete alikwepa/alikimbia mdahalo!tehe tehe tehe, na wao wamezaliwa mwaka gani?
 
Methodology used?????????

""Wameangalia hotuba ya JK,LUKUVI,PAUL MAKONDA,KOMBA,ASHA BAKARI n.k lakini watanzania wako kimya bila kupaza sauti za kukemea huku wakikemea kisichopaswa kukemewa i.e kilichokemewa na MTETEMELA hakikupaswa kukemewa bila kuwakemea hao hapo juu pia!""
 

!
!
na lukuvi na lusinde
 

Pesa zilizo tumika Dodoma na kuadhimisha miaka 50 ya muungano tungetengeneza madawati mangapi?
 
mbona wanaccm wengi hawawezi kujenga hoja zaidi ya mipasho? hata dr kikwete alikwepa/alikimbia mdahalo!tehe tehe tehe, na wao wamezaliwa mwaka gani?

Kwenye report umeambiwa thinking capacity inapungua kila siku zinavyoenda mbele. Possibly kama ndivyo usemayo basi nao umepungua uwezo wao.
 
Mi sipo, wanaoropoka kwenye bunge maalumu la katiba ndo hao wahusika wengine tupo vizuri.
 
What is intelligence?

One can't talk about and measure intelligence if one can't define it.

Is an Oblomovian drunk who chooses to avoid work and live by using welfare to sustain his stupor intelligent or not?
 
It is quite unfortunate that this is a cheap trick to make Africans feel inferior in front of the whites! This is actually stupid and unrealistic. Who is reporting about the IQ of Africans? How was the sampling of the persons tested done? Who set the IQ test questions? Are the questions asked based on African environment? Unless I get satisfactory answers to these questions I will consider this report as a rubbish that need to be thrown into the dust bin!
 
Let it be short and clear, it is ridiculous, disgusting en lame ideas ever happen in da earth.
 
Partly the finding convices me based on the recent constitutional parliment members' argument. What such a nation is this! If IQ is born then we are unluke, if it is born and need nurturing we are seriously in danger as the environment is filty and corruptive beyond repair. For those who believe in God like me though there still mercy and grace from our Lord.
 
what makes Kenya miss this list while here in the study Kenya has IQ of 72 just like Tanzania? :bounce:
lawmaina78
Haha!! is that a defense for your lower IQ level. Instead of obsessing why Kenya is not listed, try to improve your society and may be you can rank better in two years time. For a starter, begin with improving literacy, productivity, education, rule of law, corruption, crime, poverty, innovation in terms of patents, Nobel Prizes or Fields Medals, health care, quality of life etc
 
kweli kabisa kwa haya ya CCM na CHADEMA, that 72 is relatively high, 33 is our best score
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…