Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

I am sure they used our dearest president as a sample during that intelligence testing,That's why!

Huyo ndio kawazidi akili kawa Rais. Fikiria wewe sasa ambae huna hata ujumbe wa nyumba kumi.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Huyo ndio kawazidi akili kawa Rais. Fikiria wewe sasa ambae huna hata ujumbe wa nyumba kumi.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
Nina IQ kubwa kuliko rais wangu ila tu sijabahatika kuwa kiongozi kama yeye.Si unajua tena wanaoaminiwa hawapo madarakani na wasioaminiwa ndiyo wanaotuongoza?
 
Jinsi ulivyoandika tu, ni mzani tosha kabisa.

Teh, teh, teh, teheeeee...... nilitegemea jibu la namna hiyo........

Ok back to the list....... Belgium inaizidi Norway........... Mongolia inaizidi Canada....... Halafu Sudan inaizidi Ethiopia.......
Uzuri niekuwa mara kadhaa katika hizi nchi....
 
Habari ndugu zangu poleni na mihanjo ya pale na kule, leo mdukuzi wenu najikita na ukweli kuhusu tanzania( watanzania) ktk ulimwengu ni wangapi kwa IQ : kwa wezangu IQ ni nini? Ni kipimo kinachotoa uasilia na uwezo wa ubongo ktk kufikiri,hata kuchanganyua mambo
Katika jarida la The RICHEST toleo 2013 iliorodhesha top ten country in the world poor IQ ambapo tanzania ilikuwa nchi ya 9 na kumi ni sudan ktk mlolongo uwo kuna nchi za
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=8]#8 -ghana-IQ-average-71[/URL]
#7-nigeria-IQ-average 67
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=6]#6 -guinea-IQ-average[/URL] 67
#5-zimbabwe -IQ-average 66
#4-drc-IQ -average 65
#3-sierralione-IQ average 64
#2-ethiopia-IQ average-63
#1-equtorial guine-IQ average-59

Tanzania ni #9 IQ average 72 na [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=10-]#10- ni[/URL] sudan IQ average 72
Pia kijarida iko akikuishia hapo kimeorodhesha nchi ambazo zimekuwa na kiwango cha juu cha IQ kwa wananchi wake (uwezo mkubwa wa kufikiri au akili)
#1-hong kong IQ average- 107
#2-south korea IQ average-106
#3-japan IQ average-105
#4-taiwan IQ average-104
#5-singapore IQ average-103
#6 -austria-IQ average-102
#7-germany IQ average -102
#8 -italy IQ average-102
#9 - uholanzi IQ average- 102
#10- sweden IQ average-101
Kwa hiyo hapo tunaona watu wa hongkong ndio wenye uwezo mkubwa wa kufukiri na kuchanganyua mambo! Pia tumeona nchi nyingine za east africa zimeweza kulikimbia kundi la nchi zenye uwezo mdogo kwa watu wake kufiki na kuchanganyua mambo nchi izo kama rwanda,uganda ,kenya, na burundi hii ina maana ya kwamba tanzania tumeachwa na nchi hizi chakusikitisha hata burundi sisi tanzania tumekuwa ma bongo lala kiasi gani? La msingi serikali kupitia wizara zake iusike fatilia data hizi kwani ni aibu pili tunawezaje kuingia ktk jumuiya ya afrika mashariki ikiwa uwezo wetu wa kufikiri mdogo hivyoo ndani ya miaka 50 ImageUploadedByJamiiForums1403253563.655564.jpgImageUploadedByJamiiForums1403253590.414161.jpg
 
mi cjaelewa iyo tafiti ilizingatia nini na data collection ile base kwenye nini haswa mkuu naomba main link ya izo results naweza nikapata cha kusoma zaidi katika hali ya kutaka kuelewa zaidi
 
Nahisi watakuwa wana pima mawaziri wa elimu. Au sio bana
 
Watanzania tubadilike, huu utafiti alipimwa nani? Huku kutawaliwa kiakili kutaisha lini? Tusikubali kuaminishwa vitu visivyo na tija kwa taifa. Naona watu humu wameshaaminishwa na hao wazungu na wanaamini kabisa kwamba taifa lao lina watu wenye IQ ya chini. Nafikiri kwa watu kuamini hilo, tayari yaonyesha labda wako sahihi.
 
Watanzania tubadilike, huu utafiti alipimwa nani? Huku kutawaliwa kiakili kutaisha lini? Tusikubali kuaminishwa vitu visivyo na tija kwa taifa. Naona watu humu wameshaaminishwa na hao wazungu na wanaamini kabisa kwamba taifa lao lina watu wenye IQ ya chini. Nafikiri kwa watu kuamini hilo, tayari yaonyesha labda wako sahihi.

We kiazi kweli unataka kulinganisha wazungu na watu weusi,wale Mungu alishawapa amewapa sie tutulie tu. Hizi propaganda za kujiaminisha kuwa mnaweza ni upuuzi.
 
hahahaha! wanasiasa hasa magamba ndio wanaotushushia IQ kwa sababu ya ufisadi na mikataba ya kipuuzi na kilaghai.
 
Huhitaji hata kupima ili kujua IQ ya watanzania. Fanya uchunguzi wa maisha na harakati za watu. Kwa mfano:
1. Vipindi vya TV vyenye mvuto kwa jamii (orijino komedi)
2. Mashujaa, wanasiasa na mastaa maarufu (Kina Lulu, Kikwete na marehemu Karumba)
3. Matibabu yanayoaminika na wengi (Kikombe cha babu na maruhani)
4. Maandiko yanayosomwa na wengi: (Magazeti ya uswahili uswahili na imani za kishirikina)
5. ........
6.......
7......
.......

5...Wasomi wetu tunaowategemea waliotumia resources nyingi kupata elimu kuwa busy kutukana imani/dini nyingine za watanzania wenzao katika JF, etc..
 
tanzania ni bongolala hata sudan wanatuzidi? kwa kweli hii ni hatareeeee!
 
Back
Top Bottom