Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Tanzania IQ ranking - amongst world's lowest but over Rwanda, Cuba, Ethiopia, Malawi etc

Huhitaji hata kupima ili kujua IQ ya watanzania. Fanya uchunguzi wa maisha na harakati za watu. Kwa mfano:
1. Vipindi vya TV vyenye mvuto kwa jamii (orijino komedi)
2. Mashujaa, wanasiasa na mastaa maarufu (Kina Lulu, Kikwete na marehemu Karumba)
3. Matibabu yanayoaminika na wengi (Kikombe cha babu na maruhani)
4. Maandiko yanayosomwa na wengi: (Magazeti ya uswahili uswahili na imani za kishirikina)
5. ........
6.......
7......
.......

5.Tuko makini na Simba,Yanga,Cheisea,Arsenal,Man U,Madrid n.k. na kuacha mambo ya msingi.
6.Tunaiba mapesa nyumbani tunapeleka Uswisi.
7.Tunashabikia watawala wale wale mufilisi na kutarajia matokeo tofauti.
8.Wilaya inahitaji kisima cha milioni 10,DC anazurura na VX la milioni 120.
 
5.Tuko makini na Simba,Yanga,Cheisea,Arsenal,Man U,Madrid n.k. na kuacha mambo ya msingi.
6.Tunaiba mapesa nyumbani tunapeleka Uswisi.
7.Tunashabikia watawala wale wale mufilisi na kutarajia matokeo tofauti.
8.Wilaya inahitaji kisima cha milioni 10,DC anazurura na VX la milioni 120.

Kutegemea mabadiliko kutoka kwa fisadi ni reflection ya IQ ndogo.

Kuzungushwa mikono halafu mtu anaongea dk 3 halafu unasema utamchagua hata kama hana sera ni reflection ya Iq fupi
 
Kutegemea mabadiliko kutoka kwa fisadi ni reflection ya IQ ndogo.

Kuzungushwa mikono halafu mtu anaongea dk 3 halafu unasema utamchagua hata kama hana sera ni reflection ya Iq fupi

Haa! Mbona unanishtua aaisee "ndio zamani zile alikuwa kwenye list of shame, akakatwa akiwa na safari ya matumaini, akavaa gwanda kama kamanda akajiunga kwenye mabadilikooooooooooooo, pipooooooooooooz pawaaaaaaaaa amevua inzi wa kijani, amevaa kikamanda si MABADILIKO japo sijajua ni yule yule kwa ndani? Naomba Mwongozo,! Naomba IQ. ila hasemi kabisa kuhusu ufisadi ,mkataba feki na kile atawanya hao mafisaidi
 
Kuna ukweli hapa,rasilimali zote hizi tz bado milo mitatu kwa siku inatushinda?huu ni ujinga wa kitaifa.
 
Kuna ukweli hapa,rasilimali zote hizi tz bado milo mitatu kwa siku inatushinda?huu ni ujinga wa kitaifa.

ndio hivo mkuu, then unataka kujilinganisha na germany kwenye IQ???? kama sio maajabu ni nini??
 
Screen Shot 2016-10-17 at 11.16.08.png


it could explain why we are ranked higher in GDP terms (top 85) than most African countries like Zambia (ranked 109) but we are ranked poorer (152) than those same countries (eg again vs Zambia which is ranked 134).

it could explain our insanity - ie entrusting the same bunch of people to stay at the helm of things after every 5 years expecting things to change progressively.

madness!!
 
Kwa kuiweka CCM madarakani kwa miaka yote hiyo bila kufanya cha maana pamoja na rasimali tulizo nazo,nikirejea kwamba kila watanzania 4,1 ni kichaa nahitimisha kwamba hata hiyo nafasi ya 72 kwa IQ wametupendelea sisi ni wa mwisho,wakarudie utafiti wao.
 
Kwa kuiweka CCM madarakani kwa miaka yote hiyo bila kufanya cha maana pamoja na rasimali tulizo nazo,nikirejea kwamba kila watanzania 4,1 ni kichaa nahitimisha kwamba hata hiyo nafasi ya 72 kwa IQ wametupendelea sisi ni wa mwisho,wakarudie utafiti wao.
Nakubaliana na wewe hasa nikizingatia pamoja na uliyosema, kwamba ni Tanzania pekee ambayo bado hata baadhi ya waliosoma wanaweza kuamini bila kuhoji kuwa eti mtu kapata ajali ya ungo kafariki; ni Tanzania pekee ambapo watu wanaamini {hata baadhi ya wasomi} kuwa eti viungo vya albino vinaleta utajiri....
 
Nakubaliana na wewe hasa nikizingatia pamoja na uliyosema, kwamba ni Tanzania pekee ambayo bado hata baadhi ya waliosoma wanaweza kuamini bila kuhoji kuwa eti mtu kapata ajali ya ungo kafariki; ni Tanzania pekee ambapo watu wanaamini {hata baadhi ya wasomi} kuwa eti viungo vya albino vinaleta utajiri....
[emoji23] [emoji23]
 
Kwa kuiweka CCM madarakani kwa miaka yote hiyo bila kufanya cha maana pamoja na rasimali tulizo nazo,nikirejea kwamba kila watanzania 4,1 ni kichaa nahitimisha kwamba hata hiyo nafasi ya 72 kwa IQ wametupendelea sisi ni wa mwisho,wakarudie utafiti wao.
hiyo 72 ni score mkuu.
nafasi yetu ni wa 9 kutoka mwisho!
 
Back
Top Bottom