TANZANIA IS A SATANIC NATION.

TANZANIA IS A SATANIC NATION.

Hii nchi ni kati ya taifa ambalo watu wake ni washirikina wa kutupwa nyuma ya Nigeria na DRC Congo,Cha ajabu wamejificha kwenye numerous religion segments
Badala watafute maarifa na elimu wako busy na uchawi hata humu ndani huoni comments zao? They never agree that they have problems
 
Tunataka sheria ichukue mkondo wake. Huo upuuzi hautavumilika.
 
It's so sad. May the little girl rest in eternal peace with angels.
 
Have you done any kind of research? Don't run immediately into rush judgement! Tz is not an evil country!
 
Hii ishu imetutia aiba.bt ni southern region,(mbeya) ambayo ndo kuna mambo magumu na ya kutisha.hope ,serikali italifanyia kazi hili
 
Mbeya ni mkoa unasemekana una makanisa mengi na pia ushirikina umeshika kasi wachawi wamejaa makanisani
 
Ati nini? Hawa ndio wanaongoza dunia nzima kwa ushirikina.
Hii nchi ni kati ya taifa ambalo watu wake ni washirikina wa kutupwa nyuma ya Nigeria na DRC Congo,Cha ajabu wamejificha kwenye numerous religion segments
Badala watafute maarifa na elimu wako busy na uchawi hata humu ndani huoni comments zao? They never agree that they have problems
 
Tanzanian man arrested after selling daughter for body parts

Sunday May 12 2019

Six-year-old girl's body found in Mbeya.



[https://www]A Tanzanian man has been arrested for selling his six-year-old daughter to be killed so that her body parts could be used in a potion to make him rich, police said Saturday. PHOTO | FILE | NATION MEDIA GROUP

[https://www]

By AFP

More by this Author

IN SUMMARY

The region has been hit by a spate of ritual killings of children.

The businessman admitted his involvement and police are still hunting for the healer.

Such killings are not unusual in Tanzania, where albinos are often kidnapped and their body parts hacked off.

Advertisement

Dar es Salaam

A Tanzanian man has been arrested for selling his six-year-old daughter to be killed so that her body parts could be used in a potion to make him rich, police said Saturday.

A police statement said that the child, Rose Japhet, was killed last week and her body found in Mbeya, a region that has been hit by a spate of ritual killings of children.

"The body was found decapitated and with the right foot amputated," said the statement, adding the foot was found buried nearby.

"The motive of this murder was monetary. The father of the deceased took his daughter to a businessman for USD2,000 (Sh200,000) for her to be killed and her right foot amputated."

HEALER SOUGHT

The businessman, who was also arrested, was meant to "give the foot to a healer so that he would make a product which would make him (the father) prosperous," said the statement.

The businessman admitted his involvement and police are still hunting for the healer.

Mbeya is near the region of Njombe, where at least 10 children aged between two and 10 years old were found dead in January in what local media reported were ritual killings.

The United Nations condemned the killings at the time.

Such killings are not unusual in Tanzania, where albinos are often kidnapped and their body parts hacked off for use as charms and magical potions in the belief that they bring wealth and good luck.
Punguza mihemuko siyo kila Mtanzania ana imani kama za huyo Baba, Tanzania may not be a Holly nation but it is not anywhere close to that description that of u've put in your thread.
 
Ndo maana wanakiwa ranked first in sorcery and witch crafty index.
Mbona nyie mnaimani chafu za kishirikina na huwa hatuwa generalize kama mnavyofanya.....

By the way hiyo ni tabia ya mtu mmoja na ameongozwa kwa tamaa zake binafsi
 
Kwa imani zao za kishirikina watz na wanigeria ni kama mapacha. Kule Nigeria kuna hadi 'wanabiashara' ambao bidhaa wanazouza ni viungo vya mwili vya binadamu wenzao. Wanawake nao hawana amani, chupi zao zinatumika kwenye shughuli kama hizi za kishirikina, eti kutajirisha wapumbavu. Tuwe makini huu ushamba usije ukavuka mipaka na kuenea A.M.
Shetani mkubwa kenya ni pastor wako Prophet Owuor
 
Usiniletee hizo bifu zenu za sunday school, sio kila mkenya ni mkristo. Sijaskia hata siku moja wakumshutumu huyo nabii feki, kwamba amehusika kwenye mauaji ya watoto wadogo au albino.
Kweli sio kila mkenya ni mkristo lakini wewe na mamilioni wa wenzako mnafuata shetani Prophet Owour..Mnayo yafanya hatuyajui ila kutoa kafara watoto ni sambaba na madhehebu hayo..Ama unataka kumtetea pastor wako?
 
Back
Top Bottom