Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,395
Ebu upload ile flyover yenu ya nakuru tufurahi kidogo..!!Nchi maskini kama Tanzania hamfai kuwa heavily indebted maana hata miundo mbinu hamna, hivyo itawabidi mkope ili kuyafanikisha.
Leo hii ndio mnaanza kushangaa fly over ya kwanza.
Kwahiyo mumezoea kuwa failed State na hakuna hatua zozote wala matumaini ya kutoka?Hapo tushazoea ila tunataka pia kusikia vile munasikia kuwa HIPC & LDC
Wewe jamaa. Sasa Ethiopia ambayo inakuwa kwa asilimia karibia kumi kwa mwaka, wao pia hawajitoshelezi kichakula. Sasa utawakejeli na kuwatusi eti kwa sababu hawajitoshelezi kichakula?WFP says food is sufficient at national level, however localised deficit occurs at regional level.
Pita hapa Food crisis in Kenya: 5 signs of hunger I’ve never seen | World Vision
UPDATE: May 23, 2018
World Vision has been responding to the East Africa hunger crisis for the past year, reaching more than 3.5 million people facing food insecurity with clean water, food and nutrition support, healthcare, and more.
Now, while droughts have made it difficult for farmers and herders to produce crops and feed livestock, excessive spring rains are causing flash floods across drought-stricken areas, washing away crops and shelters.
Children are among the most affected, with their health and development drastically impacted. More than 15 million children in East Africa are struggling to get enough to eat while floods increase the risk of cholera and other water-related diseases for people living in temporary shelters with poor sanitation.
South Sudan, Somalia, and Ethiopia could be facing famine or catastrophic levels of food insecurity in various parts of their countries over the next few months. Turkana, Kenya, which had been monstrously impacted by drought last year, is one of the most affected by the flooding today.
This stunning blog post from exactly one year ago this week was our first glimpse into the crisis. A year later, millions have been helped, but millions more remain in need.
Nakuru ni town ndogo kwa hivyo fly-over pia ni ndogo. Msilinganishe fly-over ya Nakuru na hiyo ya Dar kwani Dar ni capital city na Nakuru si capital city. Nakuru ni town nilikoishi zamani, ipe Nakuru heshima yake wewe danganyikaEbu upload ile flyover yenu ya nakuru tufurahi kidogo..!!
Nchi yoyote ile duniani ambayo huwa haijitoshelezi kwa chakula na hata kufikia hatua ya kuomba na kupokea msaada wa chakula hiyo ni shithole country hata kama uchumi wake unakua kwa100%, so what.Wewe jamaa. Sasa Ethiopia ambayo inakuwa kwa asilimia karibia kumi kwa mwaka, wao pia hawajitoshelezi kichakula. Sasa utawakejeli na kuwatusi eti kwa sababu hawajitoshelezi kichakula?
Hio article ni ya 2013. Hata kama kwa mfano, tungekuwa failed state 2013, hakuna vile bado tunaweza kuwa failed state 2018. Miaka tano ni nyingi sana. Halafu hio firm haijulikani, kwa hivyo tafuta ripoti ya World bank, IMF au U.N uposti hapa ndio watu watakuchukulia serious, otherwise watu wataipuuza hio ripoti uchwara uchwara.Kwahiyo mumezoea kuwa failed State na hakuna hatua zozote wala matumaini ya kutoka?
https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.html
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Qatar na Saudi Arabia basi pia ni Shit-hole kulingana na hayo masharti uliyotoaNchi yoyote ile duniani ambayo huwa haijitoshelezi kwa chakula na hata kufikia hatua ya kuomba na kupokea msaada wa chakula hiyo ni shithole country hata kama uchumi wake unakua kwa100%, so what.
Dar is a city that has organised public transport systems. For a long time dar did not require flyovers and superhighways. But the recent surge in prosperity demands such infrastructure to be built.BRT is also being expanded while kenya paints its BRTNakuru ni town ndogo kwa hivyo fly-over pia ni ndogo. Msilinganishe fly-over ya Nakuru na hiyo ya Dar kwani Dar ni capital city na Nakuru si capital city. Nakuru ni town nilikoishi zamani, ipe Nakuru heshima yake wewe danganyika
Organised kivipi, fafanua zaidi. Mimi nilikuwa nikifikiri kuwa Dar hawakuwa na fly-over kwa sababu magari yalikuwa machache kwa hivyo hakukuwa na haja ya kujenga barabara za gorofaDar is a city that has organised public transport systems. For a long time dar did not require flyovers and superhighways. But the recent surge in prosperity demands such infrastructure to be built.BRT is also being expanded while kenya paints its BRT
haya upload flyover ya nairobi tuioneNakuru ni town ndogo kwa hivyo fly-over pia ni ndogo. Msilinganishe fly-over ya Nakuru na hiyo ya Dar kwani Dar ni capital city na Nakuru si capital city. Nakuru ni town nilikoishi zamani, ipe Nakuru heshima yake wewe danganyika
Organized transport kama BRT, Even people who have cars prefer BRT because its cheaper and always on time. Just like London Underground(subway).Organised kivipi, fafanua zaidi. Mimi nilikuwa nikifikiri kuwa Dar hawakuwa na fly-over kwa sababu magari yalikuwa machache kwa hivyo hakukuwa na haja ya kujenga barabara za gorofa
Bora tusiingie kwa hii ramaniKwahiyo mumezoea kuwa failed State na hakuna hatua zozote wala matumaini ya kutoka?
Kenya ranked as 'failed state'
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
We buy you never give us free, Tanzania is too poor to help anyone! you can't afford. Yet mukiwa na majanga GoK sends money and stuff to assist. Tamzania ni ovyo!!!And yet Tanzania feeds hunger stricken Kenya alias Kunyaland! That poor country snatched pipeline deal from Kunyaland n seems might do the same for SGR Uganda deal.
Uko sure nyinyi mmejitosheleza?Nchi yoyote ile duniani ambayo huwa haijitoshelezi kwa chakula na hata kufikia hatua ya kuomba na kupokea msaada wa chakula hiyo ni shithole country hata kama uchumi wake unakua kwa100%, so what.
Wanajaribu kujitetea sana! Imefika wakati tunaenda kinyume cha tamaduni na inapasa tumuelezee "mama seat properly, kwa kua ameketi vibaya kwa muda sasa"(Tanzania). Na huyu naye ni jeuri sana, anapinga na matako yote yako nje., Tanzania ya vi-wonder!!!Hio article ni ya 2013. Hata kama kwa mfano, tungekuwa failed state 2013, hakuna vile bado tunaweza kuwa failed state 2018. Miaka tano ni nyingi sana. Halafu hio firm haijulikani, kwa hivyo tafuta ripoti ya World bank, IMF au U.N uposti hapa ndio watu watakuchukulia serious, otherwise watu wataipuuza hio ripoti uchwara uchwara.
I dont remember kenya giving any money/assistance to Tz. The money used to buy Tz maize is borrowed from eurobondWe buy you never give us free, Tanzania is too poor to help anyone! you can't afford. Yet mukiwa na majanga GoK sends money and stuff to assist. Tamzania ni ovyo!!!
Kupata hiki kichekesho na vingine kama hivi wasikilize wasemaji wa Serikali.Hao ni wachochezi. Chini ya uongozi wa magufuli tanzania imepunguza kukopa kwa kasi ya ajabu tangu tupate uhuru.
Hicho ni kichekesho,usikichukulie serious
Ninashindwa sijui nikujibu nini kwa jinsi uwelewa wako ulivyo, labda unajifanya huelewi ukweli, nimesema nchi kujitosheleza sio kuzalisha hakula. Kuna njia kuu 2 za kujitosheleza kwa xhawula, 1)Kuzalisha chakula chako 2)Kuwa na uwezo wa kununua na kukipata wakati unapokihitaji, nchi yenyekutimiza haya yote mawili, haiwezi kukumbwa na njaa hadiqkufikia hatua ya kuomba na kupokea msaada wa chakula, nchi za Arabuni.Qatar na Saudi Arabia basi pia ni Shit-hole kulingana na hayo masharti uliyotoa
Sasa huo ujanja wenu hauwasaidii nyie, maana nchi mnaliwa madini yote had yanabaki mahandaki, kila siku mnatajwa kuwa maskini, mbaya zaidi mna madeni balaa.
Rice export from Tanzania to Kenya and Rwanda increases | Azam | News | EnglishUko sure nyinyi mmejitosheleza?
Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials
Nawahurumia mnavyopotoshwa na hizi propaganda za CCM...