babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Ina maana za Nairobi zimetengenezwa bila kuangalia future [emoji23][emoji23][emoji23]
4lanes with a reserve space for brt lanes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4lanes with a reserve space for brt lanes
Why are you painting your roads and claim they are brts
Ndiyo maanayake wanajenga flyover mpya bila kuzingatia brt system arafu watakuja kulilia brt !!! Kenya ni vichekeshoIna maana za Nairobi zimetengenezwa bila kuangalia future [emoji23][emoji23][emoji23]
50 what?Dont be stupid, you said flyovers, footbridge etc combined. If you combine all those we have more than 50
Sio hawakufi (hawafi)Wananchi wenu ndio hawakufi na njaa?
Hawana malengo na brt HawaIna maana za Nairobi zimetengenezwa bila kuangalia future [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii safiNaona jamaa wa majungu wapo tu wanaponda kila kitu ila hawana cha kuonesha.Cha ajabu ni kwamba barabara ya Southern Bypass tu ina flyovers na interchanges kama hizo hapo 6.![]()
Hahahaaa.. wame paint "fly over"! Hii kaliHicho ndio sijaelewa mpaka sasa wanachukua sehemu ya barabara ya zamani wana paint flyover
Lipeni pesa ya china kwanza........
Picha kwa msaada wa googleIn terms of road infrastructure we are way ahead of our southern neighbours.
Itawachukua miaka ka 20 watufikie ata tukiacha kujenga barabara zingineView attachment 1217014View attachment 1217017
Hahahaaa.. wame paint "fly over"! Hii kali
Sasa ile lipstick walizopaka barabarani zitakuwaje [emoji23][emoji23][emoji23]Hawana malengo na brt Hawa
Ndiyo maanayake wanajenga flyover mpya bila kuzingatia brt system arafu watakuja kulilia brt !!! Kenya ni vichekesho
Ha ha ha hujui ndani ya miaka 4 tu zimeshajengwa zaidi ya 200 km hapa Dar tu?In terms of road infrastructure we are way ahead of our southern neighbours.
Itawachukua miaka ka 20 watufikie ata tukiacha kujenga barabara zingineView attachment 1217014View attachment 1217017