Tanzania is now East Africa’s most attractive investment destination

Tanzania is now East Africa’s most attractive investment destination

yaani danganyika are petty idiots...hii ndio mnasherehekea vitu ambavyo bado havijulikani kama vitatendeka au la...nawaambieni mtendeni kwanza kisha msherehekee...
 
Tanzania ingeweza kuwa attractive zaidi kama Magumashi angekuwa mtu wa kusikiliza watu na kutumia hekima.
 
Hahaha mchina kiboko
huo upuuzi waishie kwa wakenya
ila uzuri wanafahamu
Walicho wafanyia wakenya
Mungu anawaona Watanzania Never Ever
3b9dd7d922d76b12ab519807638212df.jpg
Weweeee unaanzaje kucompare kitu TGV fresh from France na hayo makopo ya Kichina??!!
 
Hawa jamaa zao ni ma-renders halafu hutawahi wasikia tena.
Kisha waje na renders zingine tena, kisha tena wapotee. (repeat)
 
Kila siku tunawaletea habari kama hizi, mnatutukana eti 'watu wa kupenda misifa' kumbe hua ni wivu tu, leo hii mmtajwa number 1 mnakuja kujisifia... How does it feel kua wa kwanza? that's how we kenyans feel every other day!
 
Kila siku tunawaletea habari kama hizi, mnatutukana eti 'watu wa kupenda misifa' kumbe hua ni wivu tu, leo hii mmtajwa number 1 mnakuja kujisifia... How does it feel kua wa kwanza? that's how we kenyans feel every other day!
Atleast zetu ni work on ground
Or Completed
 
December last year alone Kenya produced 361mw from geothermal
 
Hey investment giants of EAC -ON PAPER

LOOK HERE


“The growth rate seems almost preposterous but we’re seeing 10 geothermal rigs running just in Kenya — they are going crazy with money flowing in,” said Mike Long, executive vice-president of US-based strategic consultancy Galena Advisors. “Geothermal will be growing in Kenya, maybe not to the numbers the government is publishing, but 200 MW per year will be fairly sustained for five+ years.”

 
Pia kuna hii
Wakati wenzetu wakipewa mitungi ya Chang'aa kuwa Treni
sisi jamaa wana tuonyesha vifaa!!
Yaani sisi hatuna papara

6d3fb2d9b0020c62d3852f8991127fb3.jpg

Duh, mitungi ya chang'aa haha jamani mbavu zangu
 
Back
Top Bottom