Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
yaani danganyika are petty idiots...hii ndio mnasherehekea vitu ambavyo bado havijulikani kama vitatendeka au la...nawaambieni mtendeni kwanza kisha msherehekee...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majuha yamebaki yakieneza propaganda humu ndani...Mpunga ulio pigwa hapo sio mchezo
Hhhhhh Wewe, mimi nawaona tu hapa! NimejinyamaziaCc Edward wanjala
Hahaha du!!Weweeee unaanzaje kucompare kitu TGV fresh from France na hayo makopo ya Kichina??!!
Atleast zetu ni work on groundKila siku tunawaletea habari kama hizi, mnatutukana eti 'watu wa kupenda misifa' kumbe hua ni wivu tu, leo hii mmtajwa number 1 mnakuja kujisifia... How does it feel kua wa kwanza? that's how we kenyans feel every other day!
Haha, this made my dayAnd those are falling in 15th position as well
Relax you're in good position in relation to Uganda not us
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Pia kuna hii
Wakati wenzetu wakipewa mitungi ya Chang'aa kuwa Treni
sisi jamaa wana tuonyesha vifaa!!
Yaani sisi hatuna papara
![]()