We boga report ya world bank,afdb mbona hamzizungumzii?au kwavile imf imetoa figure mlizozipenda uko kwenu?
Kila nchi inaestimation zake Yaani mm wakisema uchumi unakua kwa 7.3%,WB Wakisema 6.6%,afdb wakisema 6.8% alafu imf wakisema 4% ndio unahusu nn hasa?
Kwani madarasa ya uchumi hua yanapishana notes?