KENYA HAKUNA LOLOTE
Wakenya hawana lolote wasitubabaishe hapa, watakacholeta hapa kwetu kama wakija ni ukabila uliokithiri tu, isitoshe hao wachache wanofanya kazi nchini mwetu waajiri wanawapa vichwa sana, hata kama wanaelimu sawa nasisi wanalipwa mishahara mikubwa kuliko sisi na wanapewa vyeo bila sababu. Anayebisha afanye uchunguzi kampuni zote ambazo zina mchanganyiko wa wakenya na watanzania akianzia na GIMCO AFRICA (ni real property management company ipo Dar)
Hata Tz kuna ukabila lakini sio ule wa Kenya, kule ili upate nafasi ya kusoma nje (kwa nafasi ambazo ruhusa ya aina moja au nyingine inahitajika) lazima uwe Mkikuyu au Mjaluo, ili upate kazi serikalini hivyo hivyo, kila kitu ukabila tuuuuuuuuu! Halafu mara zote wanajisikia sana na wana-tendency ya kuwadharau Watanzania. Nadhani makala iliyoanzisha mjadala huu inajieleza. Tusitegemee eti Mkenya atakuja kuwekeza Tz halafu eti atamwajiri Mtanzania, hiyo ni ndoto. Mimi nasoma nao (huku Ulaya) na darasani wapo watano, hawapatani kwa sababu ni makabila tofauti wanaishia kujipachika kwetu watanzania ili wapate kampani kwa sababu wanaona sisi tunapendana na tunaishi kama ndugu. Halafu eti wanashangaa tunawezaje kuishi hivyo.
Anyway, ukiachalia mbali hayo yooooote ninachotaka kusema ni kuwa hakuna tunachohitaji kutoka kwao. Hatuhitaji ujuzi wao wala hatuhitaji kufanya biashara nao, kwanini tujiunge nao? Bora hata tuanzishe ka-federation ketu tukaite East Coast Team (kama jina east african federation lina copyright ya Wakenya) amini nawaambia tutapata washirika wakumwaga. Hizi zote burundi, rwanda, zambia, uganda, etc zitajiunga. Kama hawanunui bidhaa za tanzania, hawaajiri wa tanzania, unadhani neno federation tu litabadilisha msimamo wao, thubutu.
Kama mtu angetaka wazo langu kama TZ ijiunge na wakenya au isijiunge, jibu ni NO KUBWA!!!!!! HATUNA CHA KUPOTEZA KWA KUTOUNGANA NAO wala HATUNA CHAKU- GAIN TUKIWA NAO, full stop.
Wanachotaka kujiungia TZ ni kuja kuchuma tu na kuondoka zao. Kwao wameporana vimeisha. Ndio maana vitu vingi tu vya Tanzania huku ulaya wamevitangaza vipo kenya, mfano Mlima kilimanjaro, kuna vijamaa unakikuta live kabisa kinaongea na mtu huku kinamwambia mlima upo kenya ila kivuli kipo tanzania? can u imagine?
Hata nyimbo za wasanii wetu wanazitangaza ni za wakenya. Unamkuta DJ disko anatangaza kwamba sasa hivi anaenda kucheza kibao kizuri sana cha msanii kutoka kenya halafu anapiga wimbo wa AY!!!!!!!
Vitu vingine wanavyoringia hata havina maana, eti hela yao iko juu! iko juu my foot!!! China ina uchumi unaotisha duniani lakini hela yao hailingani na pound, nini pound bwana hata dola tu!
Mtu anayesema eti Tanzania wavivu ndio maana wakenya wanatuzidi kufanya kazi ni mvivu yeye, kila siku watu wanafanya makazi yasiyoisha mpaka usiku halafu anasema wavivu, ebo!
Ili tujiunge nao labda
1. Waache tabia ya kudharau watanzania ili tuwe na uhakika kuwa hakutakuwa na ubaguzi kwenye mambo mbalimbali (kama wanatuzidi kitu ni kiingereza tu, lugha ambayo wala hata sio yao). Tulionao madarasani huku tunawapiga bao tu kama issue ni marks, inamaana kiingereza hakiwasaidii.
2. Watanzania wachache wanaodhani wakenya ni bora waondoe mawazo hayo, kwa sababu hawana ubora wowote ndio maana wanataka sana kuungana na Watz, na kwao wana matatizo ya kufa mtu. The worst slum in the world ipo Nairobi inaitwa Kibera.
3. (Sharti gumu kuliko yote) Waache ukabila, waunde udugu kati ya makabila yao kwanza. Labda wajiunge/waichukue Tarime tu ndo waunde federation.
4. Suala la rais wetu kusafiri ni letu kinchowauma ni viongozi wetu kutokwenda kutembea kenya mara kwa mara, hata kama viongozi wetu ni wapuuzi lakini wana akili walau ya kujua kuwa kenya hakuna chaku-gain, sasa wakafanye nini kule?
NACONCLUDE SASA
Nakuabaliana na wote waliosema Tz inahitaji muda kabla haijajiunga na tribalists wale. Mpaka tuwe wabinafsi kama wao, wakabila kama wao, wenye roho mbaya kama wao, wabaguzi kama wao, na wenye dharau kama wao.