Tanzania is the beautiful place in the World

Tanzania is the beautiful place in the World

Katafute nini maana ya neno "raslimali" maana naona unabishia tu bila ufahamu, bahari ya Tanzania imewezesha bandari yenu itegemewe na mataifa tisa.....
Hyo raslimali itakuwa kikamba hicho.. afu pia .nimekuuliza bandari NI rasilimali unaniletea janjajanja na Mambo ya bahari[emoji3] Ila yote haizuii DRC kuwa nchi yenye rasilimali nyingi Sana hapa Africa ..madini, misitu, ardhi ya rutuba n.k.
 
Hyo raslimali itakuwa kikamba hicho.. afu pia .nimekuuliza bandari NI rasilimali unaniletea janjajanja na Mambo ya bahari[emoji3] Ila yote haizuii DRC kuwa nchi yenye rasilimali nyingi Sana hapa Africa ..madini, misitu, ardhi ya rutuba n.k.

Unatia aibu, kwamba haujui nini maana ya neno "raslimali", huwa mpo hovyoo sana kwenye masuala ya lugha, hamjui lugha zenu za asili, pia nacho Kiswahili kinawapiga chenga, halafu Kingereza ndio kilishawakataa....

Haya huu uzi unasema Tanzania ndio bora zaidi kwenye vivutio vya kitalii Afrika, mbona hampo hata kwenye kumi bora kiuchumi hapa Afrika, ukifahamu kuna mataifa yanatumia utalii tu kama kitega uchumi, hayana madini wala nini.
 
Serengeti imetangazwa tena kuwa ndio sehemu pekee inayoongoza kwa kuwa mbuga bora duniani.

Baada ya hiyo habari pia nikumbushe CNN walishawahi kuitangaza Tanzania kuwa ndio nchi yenye Beach bora duniani

Jamani Tanzania is beautiful wakenya sijui mnakwama wapi duh View attachment 1845986View attachment 1845987View attachment 1845988View attachment 1845989View attachment 1845990View attachment 1845991View attachment 1845992View attachment 1845993View attachment 1845994
Ukileta mada, leta na chanzo chake!
 
Serengeti imetangazwa tena kuwa ndio sehemu pekee inayoongoza kwa kuwa mbuga bora duniani.

Baada ya hiyo habari pia nikumbushe CNN walishawahi kuitangaza Tanzania kuwa ndio nchi yenye Beach bora duniani

Jamani Tanzania is beautiful wakenya sijui mnakwama wapi duh View attachment 1845986View attachment 1845987View attachment 1845988View attachment 1845989View attachment 1845990View attachment 1845991View attachment 1845992View attachment 1845993View attachment 1845994

Inapendeza sana...


Nothing beats Tanzania katika vivutio vya utalii hapa Afrika, I think South Africa comes second.


Sababu kuu kwanini nauliza chanzo cha hii habari ni kwamba kama chanzo ni hichi hapa chini, basi Tanzania imeshinda kweli kwa kua na the best National Park inAfrica 2020 lakini Kenya ndo inashikilia nafasi ya kwanza Africa kwa kua the leading tourist destination in Africa 2020, yani overall tumeshikilia uongozi, si mbuga moja tu bali ukichanganya kila kitu!

Tena ikija kwa mashindano ya sekta za Utalii, Kenya ilishikilia uongozi kwa sector nyingi sana kuliko Tanzania

Kenya in Red and Tanzania in Green.

1625993302685.png



1625992973544.png

👆Hapo nimesahau kupigia mstari @leading Luxury safari lodge - Four Seasons Safari lodge -Tanzania" lakini ukihesabu tuzo zote

Kenya 16, Tanzania 5,
Tanzania ilishinda tuzo mara tano ikiwemo hio tuzo ya Serengeti, wakati Kenya iliitwa jukwaaani mara 16 kupokea tuzo za sekta tofauti za utalii!!!!!


Na hata ikija kwa Best National Park in Africa, Maasai Mara imeshinda hilo tuzo kwa miaka 6 kwa mpigo!!!! Serengeti imeshinda kwa miaka miwili pekee, Kumbuka Kenya imekua kwa lockdown ya corona tangu 2019 kwahivyo hata huu ushindi wenu tunaweza tukasingizia corona Kenya kusababisha bookings zinazohitaji usafiri wa kuvuka county/jimbo zaidi ya moja zikue cancelled kwa miezi kadhaa baada ya Kenya kuweka lockdown ya usafiri wa kutoka jimbo moja hadi jengine.. Kuna wakati ulikua hauruhusiwi kusafiri nje ya Nairobi metro Area, wakati mwengine lockdown ilikua Mombasa na county jirani za Kilifi na Kwale, Sahii lockdown iko county za kisumu Na jirani zake, lockdown za aina hii zinazulia tour vans kurafiri kwenda mbugani kutoka kwa mahoteli ambayo sana sana yanapatikana county zengine kama vile Mombasa, Nairobi, Nakuru etc. KWahivyo corona ikiisha tarajia Masaai mara irudi kushikilia uongozi !!!!!!

1625993958628.png



Source: World Travel Awards 2020 Africa Winners
 
Unatia aibu, kwamba haujui nini maana ya neno "raslimali", huwa mpo hovyoo sana kwenye masuala ya lugha, hamjui lugha zenu za asili, pia nacho Kiswahili kinawapiga chenga, halafu Kingereza ndio kilishawakataa....

Haya huu uzi unasema Tanzania ndio bora zaidi kwenye vivutio vya kitalii Afrika, mbona hampo hata kwenye kumi bora kiuchumi hapa Afrika, ukifahamu kuna mataifa yanatumia utalii tu kama kitega uchumi, hayana madini wala nini.
Hamna Kiswahili cha neno raslimali Mzee[emoji1787]..unless ni Kiswahili chenu huko kunya ...we unaezungumza maneno kama Venye, chenyu, sijui nn ndo unifundishe Mimi Kiswahili ???Una uhakika hatujui lugha zetu za asili umetumia criteria gani kusema hvyo??English is just a language kama kizaramo Tu ..mnatukuza wakoloni wenu kama nn yaan [emoji23]
 
Hamna Kiswahili cha neno raslimali Mzee[emoji1787]..unless ni Kiswahili chenu huko kunya ...we unaezungumza maneno kama Venye, chenyu, sijui nn ndo unifundishe Mimi Kiswahili ???Una uhakika hatujui lugha zetu za asili umetumia criteria gani kusema hvyo??English is just a language kama kizaramo Tu ..mnatukuza wakoloni wenu kama nn yaan [emoji23]

Tafuta mtu akupe darasa la Kiswahili, kama kweli bado unashikilia kwamba neno "raslimali" halipo kwenye lugha ya Kiswahili.....
Pitia hii tovuti tena ya Tanzania ambayo imeweka maana ya neno lenyewe ENGLISH-SWAHILI DICTIONARY (INSTITUTE OF KISWAHILI RESEARCH, UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM.)
 
Back
Top Bottom