Chai Nyeusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 347
- 312
Mbowe bhana. Lini utaacha kula pesa za ruzuku?Mimi nimekula sukari. Unasemaje sasa?
Nasikia huyu jamaa amejenga zinga la jumba huko kwao HaiMbowe bhana. Lini utaacha kula pesa za ruzuku?
Mbowe kwao ni machame na sio HaiNasikia huyu jamaa amejenga zinga la jumba huko kwao Hai
Anakula na kuonga h.a.w.a.r.a zakeMbowe bhana. Lini utaacha kula pesa za ruzuku?
Magufuli hakuwa na tabia kama hizi. JPM alikuwa baba mmoja safi sana. Mungu ampe pumziko jema.Anakula na kuonga h.a.w.a.r.a zake
Shujaa wangu JPM ni chumaMagufuli hakuwa na tabia kama hizi. JPM alikuwa baba mmoja safi sana. Mungu ampe pumziko jema.
Wewe kabila gani nikupe tunda kimasihara?Uzi ungenoga kama ungeweka na picha ya kila vazi ulilolipendekeza.
Unafanya u.m.a.l.a.y.a JF siku hizi?Wewe kabila gani nikupe tunda kimasihara?
aisee yule baba alikuwa ni chuma cha mjerumaniShujaa wangu JPM ni chuma
Nikimuona Mama Janeth wa JPM ninajisikia uchungu sana amebaki mpweke.aisee yule baba alikuwa ni chuma cha mjerumani
Watoto wake wapo watampa farajaNikimuona Mama Janeth wa JPM ninajisikia uchungu sana amebaki mpweke.
Anaguna kwa unafiki tu huyo. Kwa kifupi ni kwamba hayupo real.Haukutaka agune?
Kama sio kijana sasa ni nani? Babu au bibi?Sio kijana huyo babu yako
Nilikuwa busy kidogo si unajua tena mambo ya kifamiliaShoga mambo? Umepotea sana siku hizi
Kufa kufaana kuna wazaramu wameanza harakat za kurithi jimboNikimuona Mama Janeth wa JPM ninajisikia uchungu sana amebaki mpweke.
Nina imani kubwa sana na Rais mama SamiaMagufuli hakuwa na tabia kama hizi. JPM alikuwa baba mmoja safi sana. Mungu ampe pumziko jema.
Huyu mama Samia hakika anajua sana kuongoza. Anaongea kwa utaratibu saaaanaNina imani kubwa sana na Rais mama Samia
Nimecheka sanaWewe umesha chanjwa Corona???
Badala ya kushauri serikali na wataalamu kutafiti chanjo ya Covid wewe upo na nguo tu, kwani wewe leo huna nguo za kuvaa kama walivyokuwa babu zako mwaka 1900 ???.