Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Nairobi ipo karibia na TarimeMbona Nairobi haipo katikati ya nchi ya Kenya?...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nairobi ipo karibia na TarimeMbona Nairobi haipo katikati ya nchi ya Kenya?...
Saaafiiii sana sojaHayo mavazi ma-5 pia yanaweza kuwa ya kitaifa kwa sababu ya kujenga mshikamano na umoja wa kikabila...
Soja mtoto wa mama mboga saba anakaa MasakiSaaafiiii sana soja
Hahahahaaa kumbe amejipa jina ambalo halifanani na yeyeSoja mtoto wa mama mboga saba anakaa Masaki
Soja tatizo lake ni muoga sanaSaaafiiii sana soja
Usiwe muongo kama Mbatia dogoNairobi ipo karibia na Tarime
Kwanini mkuu?mdogo wako fala.sanaaa
Mbona unapenda sana maswali? Kwani wewe ni Polisi?Kwanini mkuu?
Si unaona yeye mwenyewe anavyojiita SoldierMbona unapenda sana maswali? Kwani wewe ni Polisi?
Anatukana badala ya kujibu hojaKwanini mkuu?
Mbatia yupi?Usiwe muongo kama Mbatia dogo
Mbona umetumia lugha ya matusi mkuu?mdogo wako fala.sanaaa
Kumbe umemshtukia eeehSoja tatizo lake ni muoga sana
Mbona ni mara nyingi sana Ole Sendeka anavaaga full mashuka. Labda inawezekana haujawahi kumuona mkuu. Nimekaa sana Simanjiro hivyo ninajua ninachokiongelea.Labda hujui vizuri nguo za Kimasai, Ole Sendeka huwa hapigi full, huwa anavaa suti zake na juu anaweka shuka moja. Vazi la Kimasai ni full mashuka na yana style yake ya ufungaji. Sasa niambie ni lini ulimwona Ole Sendeka kapiga full shuka.
Labda vichochoroni, Sendeka anapiga suti juu ndio anatupia shuka.Mbona ni mara nyingi sana Ole Sendeka anavaaga full mashuka. Labda inawezekana haujawahi kumuona mkuu. Nimekaa sana Simanjiro hivyo ninajua ninachokiongelea.
Sawa bossLabda vichochoroni, Sendeka anapiga suti juu ndio anatupia shuka.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ninaomba tusibishane saaaanaLabda vichochoroni, Sendeka anapiga suti juu ndio anatupia shuka.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
mhhhBasi vazi la gigi money lipendekezwe
Ndio vazi gani hilo mkuu. Please weka picha ili sote tulioneBasi vazi la gigi money lipendekezwe