Ujue watu ifike mahali tujijali nafsi zetu wenyewe...Nikimuona Mama Janeth wa JPM ninajisikia uchungu sana amebaki mpweke.
Nimecheka sana
Eti "...wewe huna nguo... kama babu zako wa 1900???"
Tena cha mjerumaniShujaa wangu JPM ni chuma
Sawa dada mpenda ubishi usio na tijaMimi nimekula sukari. Unasemaje sasa?
Mbowe wa Machame wewe acha ubishiMbowe kwao ni machame na sio Hai
Mbowe kwao ni HaiMbowe wa Machame wewe acha ubishi
Sahihi kabisa.Mbowe kwao ni Hai
JPM alikuwa ni Rais wa wote masikini na matajiriUjue watu ifike mahali tujijali nafsi zetu wenyewe...
Tangu kifo mpaka mazishi na hata sasa kauli hizi zimekuwa zikitaradadi kila kona
Yaani watu wanajikuta eti wao wana huruma sana kuliko hata hao waliotakiwa kuwa na huruma zaidi
Ngoja nikwambie kwa niaba ya hao wenzako ni kwamba, Huyo unayemwonea huruma;
-ana kazi nzuri kupita wewe
-ana mali na vitega uchumi vya maana tu
-anahudumiwa na serikali mpaka mwisho
-ana watu (ndugu na watoto) ambao wapo vizuri tu kimaisha
-ana...
Mjinga mmoja atanijia juu hapa
Lema kwao ndio RomboSahihi kabisa.
Umepatia kabisa. Mnyika yeye ni mchagga wa wapi?Mbowe kwao ni Hai
Mnyika ni mgogo wa DodomaUmepatia kabisa. Mnyika yeye ni mchagga wa wapi?
Godbless Lema kwao Hai kama MboweLema kwao ndio Rombo
Acha uongo MkuuLema kwao ndio Rombo
Mnyika yeye ni Msukuma wa Chato.Godbless Lema kwao Hai kama Mbowe
Mnyika kwao Bariadi dada. Umebugi.Mnyika yeye ni Msukuma wa Chato.
Wewe inawezekana sio mtanzania. Yani haujui faida ya kuwa na mavazi ya taifa? Kuvaa masuti siku 7 za wiki ni uzungu usio na sababu.Hivi nn faida ya kuwa na hivi vitu
Kweli kabisa mkuu. Walau siku moja kwa wiki watu wavae nguo za asili.Wewe inawezekana sio mtanzania. Yani haujui faida ya kuwa na mavazi ya taifa? Kuvaa masuti siku 7 za wiki ni uzungu usio na sababu.
Nimesoma darasa moja na Mnyika. Ninamjua nje ndaniMnyika kwao Bariadi dada. Umebugi.
Kuna jamaa mmoja alikuwa ananiambia Mnyika ni mzee wa totoz sana alipokuwa chuoni.Nimesoma darasa moja na Mnyika. Ninamjua nje ndani