Tanzania isiwe na vazi moja tu la Taifa, tuwe na mavazi rasmi matano kutoka katika makabila yetu

Tanzania haihitaji mavazi ya Taifa
Tanzania inahitaji mkakati wa kuwafanya wananchi wake specifically vijana kuwa na skills za kimaendeleo katika nyanja za sayansi na ufundi.
Nchi iwe ya wazalishaji hasa sio wachuuzi wa mitaani wanajaza barabarani bidhaa zenye viwango hafifu vya asia mashariki
Watu wawezeshwe kutengeza bidhaa ndogo ndogo za small scale industry kama Jua Kali Kenya
Sio kujaa mitaani kuuza vazi la taifa kwa vitambaa vinatoka China.
 
Tanzania haihitaji mavazi ya Taifa
Tanzania inahitaji mkakati wa kuwafanya wananchi wake specifically vijana kuwa na skills za kimaendeleo katika nyanja za sayansi na ufundi.
VETA pamoja na vyuo vingine kadhaa vya ufundi vipo na ndio vinavyofanya haya uliyoyaandika hapa. Unataka nini tena mkuu?...
 
Kwanini vitambaa visitoke China katika dunia ya sasa ya free market/globalization?

Alafu kumbuka kuwa China ni washirika wetu wa kimaendeleo.
 


Wewe umesha chanjwa Corona???

Badala ya kushauri serikali na wataalamu kutafiti chanjo ya Covid wewe upo na nguo tu, kwani wewe leo huna nguo za kuvaa kama walivyokuwa babu zako mwaka 1900 ???.
 
Kwanini vitambaa visitoke China katika dunia ya sasa ya free market/globalization?

Alafu kumbuka kuwa China ni washirika wetu wa kimaendeleo.
Kwanini tusitengeneze vitambaa vya hilo vazi wenyewe, China ni Neo New Economical Colonial Master
Mimi nakumbuka mama alikuwa anapika vitenge mwenyewe
Wakati huo kila mwananchi alikuwa na ile ari ya kujitegemea
Na SIDO ilijaribu lakini wezi wakaja kula kila kitu
Hata Shillingi ilikuwa inajibeba kwenye currency market

Mkuu achana hizi stori za mafuta ya mpako
Hamasisha micro development tusiwe nchi ya wachuuzi
 
Kwanini tusitengeneze vitambaa vya hilo vazi wenyewe
Mbona viwanda vipo kama KTM Mbagala na kile cha Morogoro. Mbona kuna akina mama wapo chini ya uangalizi wa SIDO pia wanafanya vizuri tu katika viwanda vyao vidogodogo...
 
South Afrika kuna makabila mangapi? Je kuna kabila lolote ambao wameachwa kwa lugha yao kutokutambulika??
Makabila yapo 37 ila lugha rasmi ni 11, sasa wewe hauoni hapo kama kuna makabila mengine yameachwa na hawakuleta migogoro yoyote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…