Tanzania itapigwa tena na Cape Verde

Duuh! Pole sana.

Mie Alhamdulillah uzima upo ndio maana nipo jf nachokozana na watu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Shukran sana.
Nakuona na uchokozi unauweza [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaaa. Sawa Mkuu.

Ila ngoja hizo game mbili zipite kwanza ikitokea kimeeleweka basi ntaanza kuungana nanyi ukielekea Cameroon. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
hahahha trust me, you will be next to me kwenye dreamliner kuelekea kubeba ubingwa sasa.
 
Hahahaa. Ila kwa timu hii tuwaze ndoa tu la watoto tuliache kwanza. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mkuu hapo kwenye red naona unaweka maneno ya kukukinga eee.
hahahahhahhahahahahha mkuu hata field martial vitani anavaa bullet proof na silaha kem kem sembuse mimi?

tukutane mechi zijazo maana yajayo yanafurahisha
 
Duuh! Pole sana.

Mie Alhamdulillah uzima upo ndio maana nipo jf nachokozana na watu hapa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Binamu jana hukuwa na uhakika kama tungeshinda
 
Hahahaaaa. Sawa Mkuu.

Ila ngoja hizo game mbili zipite kwanza ikitokea kimeeleweka basi ntaanza kuungana nanyi ukielekea Cameroon. [emoji3][emoji3][emoji3]
Mm nataka nikununulie na Jersey ya taifa stars naomba uchague namba ngapi unapendelea?
 
ENDELEA NA PESSIMISM YAKO LAKINI VIJANA WAMEMCHANA MTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…