Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Kuna wimbi kubwa la wakenya wanaoishi kwenye borders za Tanzania kuvuka kuingia nchini specifically kwa ajili ya kufuata msosi na vinywaji vya bei rahisi kutokana na Kenya kuwa na upungufu mkubwa wa chakula pamoja na bei mbaya za gharama za maisha
Tunajua huu umekua utaratibu toka miaka mingi kwa wakenya kuja kuganga njaa zao na kutafuta slope Tanzania hasa kwenye vinywaji vikali
Naomba serikali iwe makini hasa ukizingatia Corona inasambaa kutokana na contamination ya maji maji ya mdomo, pua etc
Njaa za wakenya zisijekuwa Chanzo cha janga kubwa nchini, tuwapelekee chakula huko kwao lakini sio kukubali watuletee Corona nchini sababu mpaka saivi wao ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa Corona ukanda huu.
Soma comments hapa uone jinsi wanavyoshadadia kwamba hawatoacha kuingia nchini kuganga njaa zao
Tunajua huu umekua utaratibu toka miaka mingi kwa wakenya kuja kuganga njaa zao na kutafuta slope Tanzania hasa kwenye vinywaji vikali
Naomba serikali iwe makini hasa ukizingatia Corona inasambaa kutokana na contamination ya maji maji ya mdomo, pua etc
Njaa za wakenya zisijekuwa Chanzo cha janga kubwa nchini, tuwapelekee chakula huko kwao lakini sio kukubali watuletee Corona nchini sababu mpaka saivi wao ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa Corona ukanda huu.
Soma comments hapa uone jinsi wanavyoshadadia kwamba hawatoacha kuingia nchini kuganga njaa zao