Huu MUUNGANO tulio nao sielewi kama ni wa danganya toto au nini.
Muungano wa kweli na wenye tija, ni wa serikali moja tu.
Muungano huu ni wa kichekesho tu. Muungano wa baadhi tu ya mambo, maana yake nini ?
Nimemsikia kiongozi mmoja akisisitiza maazimio ya wazanzibar kwenye mapendekezo ya katiba mpya.
Wazanzibar wapo barabarani bara kibao na wengi wamewekeza vizuri tu mpaka huko Tunduma !! Lakini wa bara hana nafasi hiyo visiwani.
Hii mimi sikubali kabisa na inawezikana kuwa huu muungano haupo ila ni kudanganyana tu.
Wanachoamua Zenj chao lakini cha barabarani cha wote ? Noooo tuwe na Serikali moja tu.
Muungano wa kweli na wenye tija, ni wa serikali moja tu.
Muungano huu ni wa kichekesho tu. Muungano wa baadhi tu ya mambo, maana yake nini ?
Nimemsikia kiongozi mmoja akisisitiza maazimio ya wazanzibar kwenye mapendekezo ya katiba mpya.
Wazanzibar wapo barabarani bara kibao na wengi wamewekeza vizuri tu mpaka huko Tunduma !! Lakini wa bara hana nafasi hiyo visiwani.
Hii mimi sikubali kabisa na inawezikana kuwa huu muungano haupo ila ni kudanganyana tu.
Wanachoamua Zenj chao lakini cha barabarani cha wote ? Noooo tuwe na Serikali moja tu.