Tanzania izuie uingizwaji wa maziwa ya Kenya

You seem to be a sober person with a good grasp on issues, why don't you help your brothers. Don't make the rest of the east Africans think you guys are fools. Help them, I know you are able.
Noway, tz is a nation brother,don't be fooled ,we have brain,don't poison yu ar self nyang'au!!
 
Baba yako ndio mpumbavu. Sonofabitch
 
April 26, 2017
Dodoma, Tanzania

Waziri wa Viwanda Tanzania, Charles Mwijage kuhusu gesi ya Tanzania na Ngano kukatazwa Kenya na hatua ambazo wizara yake itachukua kufuatilia katazo hili na namna wa kupata ufumbuzi

Source: Millard Ayo
 
hizi chumi zetu ni za kuwekeana vikwazo kweli ? Tuachane na EAC tukomae na Greatlakes
 
Kama ni kwa mujibu wa ITIFAKI NA MASOKO KUINGILIANA AFRIKA MASHARIKI!!!!!mbona MNAZUIA MIRUNGI???hilo zao kwao linaingiza kipato cha taifa kuliko gongo viroba konyagi ginyagi na kadhalika sasa angalieni pande zote
 
Wakenya walishatutangulia ki elimu na ndomaana hadi leo tunakunywa maziwa ya kenya hali ya kua tuna mifugo ya kumwaga hadi tumechoka na vita vya wafugaji Na wakulima kutokana na mifugo tulonayo
Tuna siagi (blueband)ni kenya BigG ni kenya biscuits ni Kenya japo zao la dengu linatoka tz kwetu.na ndomaana hata fedha yetu itafkia noti ya elf1 kua Coin
 
Katika mambo ya msingi serekali haizungumzii waliuwa watu msumbiji hakuna tamko misaada imefungiwa hakuna usemi mwingine uarabun kapigwa picha zina sambaa hakuna mtetetez we mseme bashite ndo ujue utekelezaji
 
7) nyang'anya ardhi yote(zote) zinazomilikiwa na wakenya.... Maana washaona Tz ndo nchi yao kimbilio lá kuja kuwekeza ktk ardhi, sasa fukuza wakagombanie mashamba yao ya kisettler.
 
Hahahaha, hii habari anko hajaisikia nadhani akiipata anaweza mpa Ambassador 24hrs awe keshatua Nai😀😀
Mzee uendeshaji wa nchi unasiri nyingi, kunamambo mengi sana kama haya ambayo nahic watu wetu wa system wanacounter kimyakimya bila sisi kujua. halafu inshu kama hii Rais hatakiwi kuonekana direct anakomaa nayo atachafua hali ya hewa kimataifa
 
Kama ni kwa mujibu wa ITIFAKI NA MASOKO KUINGILIANA AFRIKA MASHARIKI!!!!!mbona MNAZUIA MIRUNGI???hilo zao kwao linaingiza kipato cha taifa kuliko gongo viroba konyagi ginyagi na kadhalika sasa angalieni pande zote
Braza mirungi inakubalika Kenya kisheria Tanzania haikubaliki kisheria so ni lazma izuiliwe,gas inakubalika kenya kisheria gas inakubalika tz kisheria so kucompare gas na mirungi you're totally wrong
 
Duuuh Kenya ni wa kutuwekea economic embargo sis,subiri na ss tuwawekee tuone who will cry more
 
Wakenya mmemkera sana mzee wetu mlipomwomba madaktari mkazingua.. Ilifika hatua akaamua kuajiri wale walioomba kwa hasira.
Sasa mnazidi kumtia hasira JPm
Hadi Jumamosi vilio vitaanza kusikika. Trust me.
 
Vipi kuhusu..
.Asas
.Bakhresa
.Tanga fresh
.Mara
.Dar fresh. Etc
Hayo nayo ni ya Wakenya?
 
Vipi kuhusu..
.Asas
.Bakhresa
.Tanga fresh
.Mara
.Dar fresh. Etc
Hayo nayo ni ya Wakenya?
Anabonga tu kuna vitu haelewi,bidhaa as Kenya nyingi utazikuta kilimanjaro na arusha mikoa ya jirani,ukitoka uko kidogo tanga, mikoa mingine mali nyingi sio za kenya madukani....kipindi flani nikiwa Rukwa kuna bidhaa a Zambia kule kimtindo na Congo
 
Hahahaaa
Tz inasemekana ndo watabe wa diplomasia.
 
Mzee uendeshaji wa nchi unasiri nyingi, kunamambo mengi sana kama haya ambayo nahic watu wetu wa system wanacounter kimyakimya bila sisi kujua. halafu inshu kama hii Rais hatakiwi kuonekana direct anakomaa nayo atachafua hali ya hewa kimataifa
Pamoja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…