mgombea uvccm2017
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 505
- 376
Sijui kwa sababu walitutawala au ni lipi?
Yaani tunamdomo kama waingeleza
Mchezaji wa kingeleza akifanya kitu kidogo promo anayopewa utadhani hakuna zaidi yake!
Angalia bei zao zilivyo! Kufuru tupu!!
Yaani ikitokea kwa miaka hii England ikaingia fainal tu hata isipobeba kombe la dunia basi kelele zake hatutalala
Wao ni kama sisi watanzania! Samata kushinda mchezaji bora kelele tunazopiga utadhani tumekuwa mabingwa wapya wa africa yaani mpaka tumesahau kuwa juzi tu hapa tulipigwa wiki (7-0)
Haya sio mbaya tukifanana na mkoloni wetu
Yaani tunamdomo kama waingeleza
Mchezaji wa kingeleza akifanya kitu kidogo promo anayopewa utadhani hakuna zaidi yake!
Angalia bei zao zilivyo! Kufuru tupu!!
Yaani ikitokea kwa miaka hii England ikaingia fainal tu hata isipobeba kombe la dunia basi kelele zake hatutalala
Wao ni kama sisi watanzania! Samata kushinda mchezaji bora kelele tunazopiga utadhani tumekuwa mabingwa wapya wa africa yaani mpaka tumesahau kuwa juzi tu hapa tulipigwa wiki (7-0)
Haya sio mbaya tukifanana na mkoloni wetu