TIASSA JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 2,926 Reaction score 3,530 Aug 21, 2021 #21 ukiwa na akili inakuwa na furaha siunawaona Israel
kichwa kikubwa JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 2,273 Reaction score 1,703 Aug 21, 2021 #22 Cannabis said: Haukona nchi ilivyokuwa inamlilia shujaa wetu wa Africa ? Unategemea furaha itokee wapi Click to expand... Kaifanyia nini Africa? Ilihali kaiacha nchi (Tanzania) imechakaa sababu ya ukichaa wake. Yule alikuwa shujaa wa Chato tu, ambako walineemeka pakubwa na mambo ya ovyo ya Magufuli.
Cannabis said: Haukona nchi ilivyokuwa inamlilia shujaa wetu wa Africa ? Unategemea furaha itokee wapi Click to expand... Kaifanyia nini Africa? Ilihali kaiacha nchi (Tanzania) imechakaa sababu ya ukichaa wake. Yule alikuwa shujaa wa Chato tu, ambako walineemeka pakubwa na mambo ya ovyo ya Magufuli.
SN.BARRY JF-Expert Member Joined Oct 12, 2012 Posts 4,038 Reaction score 8,929 Aug 21, 2021 #23 BIBI CHOKOCHOKO ATABISHA WAKATI HAJATOA AJIRA TANGU 2016.
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Aug 21, 2021 #24 Propaganda hizi, Tanzania inashindwaje na nchi kama USA kwa mfano..., kila siku wamefungiwa ndani kama kuku wa kisasa, furaha wanatoa wapi?
Propaganda hizi, Tanzania inashindwaje na nchi kama USA kwa mfano..., kila siku wamefungiwa ndani kama kuku wa kisasa, furaha wanatoa wapi?
Nyonzo bin mvule JF-Expert Member Joined Sep 19, 2020 Posts 2,428 Reaction score 6,929 Aug 22, 2021 #25 Sema hawa watu wa takwimu wadwanzi tu,, congo wameenda kweli hawa?🤔