Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ keeping on monopolizing state of art medical 😷 services in the region 🌍

Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ keeping on monopolizing state of art medical 😷 services in the region 🌍

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
This will be the best health care provider facility in Africa after being completed in which targets VIP and government officials
Dm9Hq22UYAAe87Z.jpg
 
vijana wa ufipa watasema kuwa wao huduma hizi hawazitaki ..wanachotaka wao ni milo mitatu na amani ya kutosha😳😳😳
, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ watapata tabu sana
 
vijana wa ufipa watasema kuwa wao huduma hizi hawazitaki ..wanachotaka wao ni milo mitatu na amani ya kutosha 😳😳😳
Watasema hospitali itamsaidia nini mwananchi aliyeko tabora teh teh ufipa bwana
 
Watasema hospitali itamsaidia nini mwananchi aliyeko tabora teh teh ufipa bwana



wataambiazana wapinge ili isijengwe wengine watadirikim kusema eti hakikua kipaumbele cha serikali kwahiyo mradi usimamishweπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwanza wanunue vifaa waziweke kwa majengo yaliyomo.
Sasa kuna kifaa gani hatuna?
Hata hospitals nzuri zaidi hata hii tunazo nyingi tu that's why I said we are keeping monopolizing the service sio kama ndio tunaanza
 
Kama ingekua ni Kenya hapo should be 40 billion Kenyan shillings, because wezi ni wengi
Infact hiyo ndiyo ilikua hoja yake, alitaka kusema hiyo pesa ni ndogo sana haiwezi tosha ila akakumbuka SGR ya Tz ilivyo na viwango na inajengwa kwa pesa ndogo, akakumbuka Tz ilivyo na bei ndogo ya cement, kokoto, mchanga akabadili gear angani [emoji2]
 
Infact hiyo ndiyo ilikua hoja yake, alitaka kusema hiyo pesa ni ndogo sana haiwezi tosha ila akakumbuka SGR ya Tz ilivyo na viwango na inajengwa kwa pesa ndogo, akakumbuka Tz ilivyo na bei ndogo ya cement, kokoto, mchanga akabadili gear angani [emoji2]
Category 2 SGR mnayojenga na mashida shida.
 
Back
Top Bottom