Tanzania: Kila anayeteuliwa anaitwa "Kitengo" hivi Wakulima na Wafanyakazi hawawezi kuteuliwa?

Tanzania: Kila anayeteuliwa anaitwa "Kitengo" hivi Wakulima na Wafanyakazi hawawezi kuteuliwa?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme .

Yaani kila mtu ambaye siyo Mtoto wa kiongozi akiteuliwa kushika wadhifa wowote anaonekana ni kutoka usalama wa Taifa! kwamba Raia yeyote ambaye ni mfanyakazi tu labda wa kiwanda cha Urafiki , KTM , UFI , au Mwalimu wa shule ya Msingi Mtakuja, Ikolo au Ibonde hana haki ya kuteuliwa , na ikitokea kateuliwa basi haraka tu anaitwa Kitengo.

Cha kuchekesha sasa Wateuaji wenyewe , mfano Rais na Mawaziri hawajawahi kuitwa Kitengo , au Watoto wa viongozi wakiteuliwa wao hawaitwi vitengo ila utasikia kwamba ni Koneksheni .

Hii Nchi aliyeiloga bila shaka alikuwa katili sana ! maana kailoga kuanzia Unyayo hadi nywele.

Poor Tanzania!
 
Ndio hawawezi kwakua wanauwelewa hafifu wa mambo yakitaifa. anaweza asiwe kwenye payroll ya Tiss but atleast amepitapita.
 
Ndio hawawezi kwakua wanauwelewa hafifu wa mambo yakitaifa. anaweza asiwe kwenye payroll ya Tiss but atleast amepitapita.
Kwamba Tiss ndio wanauelewa mkubwa wa nchi , nani kakudanganya?
 
Mwenye kigoda wenu mwenyewe atampigia kura ya Urais mh mama samia suluhu Hasssan uchaguzi ujao.Usiulize kwanini maana hata Lowassa alipopewa nafasi 2015 hukuuliza kwanini Slaa alitupwa nje na mwenye kigoda chake cha urithi
 
Hata wewe ni kitengo Ndio sababu uko Hapa kuzungumzia mambo ya kitaifa siyo ya familia Yako

Hata Mbowe kwa sababu amewahi kuwa Mlinzi pale Biotii naye ni kitengo 😂😂🔥

Hata Mnyika aliingizwa Siasani na mzee Malecela

Kabwe kaingizwa Siasani na Mzee Sitta

Hivyo kuwa Kitengo ni swala la kawaida sana

Very simple 😂🔥🐼
 
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme .

Yaani kila mtu ambaye siyo Mtoto wa kiongozi akiteuliwa kushika wadhifa wowote anaonekana ni kutoka usalama wa Taifa! kwamba Raia yeyote ambaye ni mfanyakazi tu labda wa kiwanda cha Urafiki , KTM , UFI , au Mwalimu wa shule ya Msingi Mtakuja, Ikolo au Ibonde hana haki ya kuteuliwa , na ikitokea kateuliwa basi haraka tu anaitwa Kitengo.

Cha kuchekesha sasa Wateuaji wenyewe , mfano Rais na Mawaziri hawajawahi kuitwa Kitengo , au Watoto wa viongozi wakiteuliwa wao hawaitwi vitengo ila utasikia kwamba ni Koneksheni .

Hii Nchi aliyeiloga bila shaka alikuwa katili sana ! maana kailoga kuanzia Unyayo hadi nywele.

Poor Tanzania!
Hii Nchi aliyeiloga bila shaka alikuwa katili sana ! maana kailoga kuanzia Unyayo hadi nywele.,[emoji23]
Karoga hadi jasho!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme .

Yaani kila mtu ambaye siyo Mtoto wa kiongozi akiteuliwa kushika wadhifa wowote anaonekana ni kutoka usalama wa Taifa! kwamba Raia yeyote ambaye ni mfanyakazi tu labda wa kiwanda cha Urafiki , KTM , UFI , au Mwalimu wa shule ya Msingi Mtakuja, Ikolo au Ibonde hana haki ya kuteuliwa , na ikitokea kateuliwa basi haraka tu anaitwa Kitengo.

Cha kuchekesha sasa Wateuaji wenyewe , mfano Rais na Mawaziri hawajawahi kuitwa Kitengo , au Watoto wa viongozi wakiteuliwa wao hawaitwi vitengo ila utasikia kwamba ni Koneksheni .

Hii Nchi aliyeiloga bila shaka alikuwa katili sana ! maana kailoga kuanzia Unyayo hadi nywele.

Poor Tanzania!
Bila kufanyiwa vetting na hao nani akuteue? At least Watoto wa vigogo ni vetting tosha ila wewe outsider kazi unayo.
 
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme .

Yaani kila mtu ambaye siyo Mtoto wa kiongozi akiteuliwa kushika wadhifa wowote anaonekana ni kutoka usalama wa Taifa! kwamba Raia yeyote ambaye ni mfanyakazi tu labda wa kiwanda cha Urafiki , KTM , UFI , au Mwalimu wa shule ya Msingi Mtakuja, Ikolo au Ibonde hana haki ya kuteuliwa , na ikitokea kateuliwa basi haraka tu anaitwa Kitengo.

Cha kuchekesha sasa Wateuaji wenyewe , mfano Rais na Mawaziri hawajawahi kuitwa Kitengo , au Watoto wa viongozi wakiteuliwa wao hawaitwi vitengo ila utasikia kwamba ni Koneksheni .

Hii Nchi aliyeiloga bila shaka alikuwa katili sana ! maana kailoga kuanzia Unyayo hadi nywele.

Poor Tanzania!
Ndugu yangu
Kama hauna taarifa ndo nakupatia sasa.
Nchi hii inaongozwa kijeshi. Ndo maana hata namba moja naye huwa wanamvisha magwanda afananie nao.

Mtu katoka kuwa afisa Tawala akateuliwa kuwa boss wa kitengo, bado haujaelewa tu?

Wabunge wengi wa CCM hupelekwa kozi za lazima za vitengo ili wanate na beat za utawala wa kiimla ulioiteka nchi kutoka kwa wananchi
 
Nchi imejaa wajinga wengi halafu ndiyo wanajiona wajanja sana utalikuta jitu limetoka bush lakini likifika mjini likikaa mwezi tu likaanza kuuza mitumba na kukimbizana na mgambo Kariakoo tayari linajiona lishakuwa janja! Povu ruksa.
 
Ndio hawawezi kwakua wanauwelewa hafifu wa mambo yakitaifa. anaweza asiwe kwenye payroll ya Tiss but atleast amepitapita.

Wako watu kibao wana uelewa wa ishu z akitaifa. Ni vile mamlaka hazija mulika mbali. Tuna potential individuals ambao wako nje ya circle ya kisiasa
 
Back
Top Bottom