Tanzania: Kila anayeteuliwa anaitwa "Kitengo" hivi Wakulima na Wafanyakazi hawawezi kuteuliwa?

Tanzania: Kila anayeteuliwa anaitwa "Kitengo" hivi Wakulima na Wafanyakazi hawawezi kuteuliwa?

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

'Think tank' ya Taifa inazidi kuchochora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii Nchi ni dhahiri sasa kwamba Wananchi wake wamechoka kuwaza , nadhani hali hii inatokana na dhiki zinazowakabili raia ikiwa ni pamoja na umasikini wa kutupwa pamoja na mgawo kabambe wa umeme .

Yaani kila mtu ambaye siyo Mtoto wa kiongozi akiteuliwa kushika wadhifa wowote anaonekana ni kutoka usalama wa Taifa! kwamba Raia yeyote ambaye ni mfanyakazi tu labda wa kiwanda cha Urafiki , KTM , UFI , au Mwalimu wa shule ya Msingi Mtakuja, Ikolo au Ibonde hana haki ya kuteuliwa , na ikitokea kateuliwa basi haraka tu anaitwa Kitengo.

Cha kuchekesha sasa Wateuaji wenyewe , mfano Rais na Mawaziri hawajawahi kuitwa Kitengo , au Watoto wa viongozi wakiteuliwa wao hawaitwi vitengo ila utasikia kwamba ni Koneksheni .

Hii Nchi aliyeiloga bila shaka alikuwa katili sana ! maana kailoga kuanzia Unyayo hadi nywele.

Poor Tanzania!
Mkuu nchi ipo chini ya kakikundi kadogo, ili tufike upatakapo lazima ccm kuondoka madarakani,

Why kila nafasi jaza watu wa vitengo, kwani malengo ya kuanzisha kitengo ilikua ni kuteuliwa kwenye nafasi mbali mbali , au kutekeleza majukum yao kwa niaba ya taifa kwa mjibu wa majukum yao,
Tuna fikra za ajabu sana taifa hili
 
Back
Top Bottom