Tanzania (Kilimanjaro Stars) vs Zimbabwe

Tanzania (Kilimanjaro Stars) vs Zimbabwe

tumefika hapa kwa sbb ya uenyeji!otherwise tungeshatolewa wa kwanza!
 
Supersport commentator"This kilimanjaro stars,and kilimanjaro is the highest mountain in Africa,but Zimbabwe is climbing it easily"
 
huyo firauni julio tokoliake kabisa hana adabu anaishia kubwabwaja huyo tenga tokoliake kabisa shenzi wakuba
wewe maneno gani aya unaandika???.... duh wewe dogo inabidi upelekwe kitchen party ufundishwe lipi la kuongea na lipi usiongee, te et ti it, yaaaaaani nimechoka kabisa
 
Hii Penalty tumepewa kabisa. But hongera Kazimoto kwa kuipiga vizuri
 
Mpira umekwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kilimanajaro outttttttttttttt of the tmt
 
wewe maneno gani aya unaandika???.... Duh wewe dogo inabidi upelekwe kitchen party ufundishwe lipi la kuongea na lipi usiongee, te et ti it, yaaaaaani nimechoka kabisa

yaishe mwanaoa akijinyea usimkate **** msafishe ok mpwa umkanye
chelsea 3 newndolvu 0
 
Tumepata kimoja! na muda bado kadakika kamoja, ndio tunaamka sasa tunakumbuka kushambulia
 
Jamani mkitoka uwanjani njooni travetine kuna mambo mazuri hapa starehe sioo uwanjani tu kuangalia mpira
yashababi ya allaua
 
joel ngozo anatoka na kuingi shokozo shuma kwa upande wa zimbabwe. Mia
 
Back
Top Bottom