Tanzania kabebwa eti ni best looser no2,atacheza na malawi juma4,na zenj atacheza na rwanda j3,wote watatolewa hakuna timu kabisa si bara wala zenj wote wabovu.
kwani yanga walikuwa wanacheza leo au?
Bora simba na kocha wao chiriku wamefungws midomo walikuwa wanachonga sana.
Mkuu uwanjani umewaona wachezaji wa Simba tu, Said Maulid, Hussein Javu, Thomas Ulimwengu, Taita, Nurdin Bakari, Ramadhan Chombo, Mrisho Ngasa na Erasto Nyoni wote Simba hao du Simba ina wachezaji wengi kweli, bado na wengine nje kina Mgosi, Boban, Samata, Kado walikuwa nje. Na muda wote anasemwa Julio wakati yeye ni kocha msaidizi na Mkwasa sijui kwa nini hamtaki kumtaja?Duh kumbe tumepita! julio atajifunza kitu kuwa kuwapanga wachezaji wa simba ni noma! hakuna kitu hao simba.
Mkuu Julio ni kocha msaidizi na kama timu imejazwa na wachezaji wa simba ambao mnaona hawafai wa kulaumiwa ni kocha mkuu Mkwasa, mbona hamtaki kuongelea goli ambalo Said Maulid alijifunga au kwa sababu aliwahi kuchezea Yanga?MIMI NAMLAUMU SANA jurio. jurio ni SIMBA NA ALIKUWA KOCHA WA SIMBA. yeye kwa akili UJINGA wake analeta mambo ya usimba kwenye mambo ya TAIFA. Yeye kila timu anayo iongoza lazima alete usimba na uccm. kipindi kile cha KOMBE LA TAIFA alikua anaifundisha Ilala.Ilala iliposhinda akasema eti ushindi ule ni zawadi ya mwenyekiti wa ccm na Rais wa Tz. Mala yanga haoni mchezaji wa kuchukua. Mia
Watanzania mpira hamna mdomo mwingi tu nashangaa mashabiki wa simba na yanga mnavyobishana hapa kelele nyingi mpira sifuri
rip kili starz..
Charles Boniface na Jamhuri Kiwelu wasipewe Tena Timu ya Taifa
Wagonjwa hao kuondoa wazoefu sio majaribio ni Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wetu
upo nchi gani kaka?
MIMI NAMLAUMU SANA jurio. jurio ni SIMBA NA ALIKUWA KOCHA WA SIMBA. yeye kwa akili UJINGA wake analeta mambo ya usimba kwenye mambo ya TAIFA. Yeye kila timu anayo iongoza lazima alete usimba na uccm. kipindi kile cha KOMBE LA TAIFA alikua anaifundisha Ilala.Ilala iliposhinda akasema eti ushindi ule ni zawadi ya mwenyekiti wa ccm na Rais wa Tz. Mala yanga haoni mchezaji wa kuchukua. Mia
Bora simba na kocha wao chiriku wamefungws midomo walikuwa wanachonga sana.