Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
After all bado internet tariffs za Tanzania ni cheapest kuliko maeneo mengi AfricaYouTube, Instagram na Facebook ni social media but also social networking apps na sites. Thats why matumizi yake ya data yapo juu sana.
Kampuni za simu wanatakiwa kuset bundle za juu zaidi kwaajiri ya Instagram ili watumiaji wake waweze jiachia bila shida.
Ukienda naija ndo very expensive.After all bado internet tariffs za Tanzania ni cheapest kuliko maeneo mengi Africa
Tandao wa nje huwa napenda kusoma Soma, una Mambo mengi mazuri.Pinterest aisee nilikuwa sijawahi itumiaa kabisaa
Dah basi tunahitaji kuwekeza zaidi hii sekta maana dunia ya sasa na internet ikiwa gharama tutapitwa na mambo mengi ya msingi.After all bado internet tariffs za Tanzania ni cheapest kuliko maeneo mengi Africa
Mimi haya mambo ya followers & following nayatilia maanani zaidi Instagram. Nadhani kwanza ndo yamepata umaarufu zaidi huko.Namashaka na huu utafiti. Haiwezekani Millard Ayo ana wafuasi wengi zaidi katika instagram kuliko facebook halafu wanasema Tanzania tunatumia zaidi facebook
Sasa kama hazikuwa included kwenye study?
mkuu, hizi tafiti zilifanywa na taasisi/ shirika gani?Tanzania kwa youtube hapo nakubali. Ukiangalia Youtube TV channel za habari, matukio na burudani nyingi zao ni za watanzania...Tena wenye channel wakiweka video, masaa mawili karibu views 10k.
Kwa kifupi, Tanzania wana Internet kwa wingi, hata instagram inayo kula bando sana bado wanongoza
Haihitaji sana uchunguzi wa taasisi, hata ww mwenyewe unawez jioneamkuu, hizi tafiti zilifanywa na taasisi/ shirika gani?
Alaf nashangaa watu humu wakawa wanasema nchi yao ndio inaangalia nyimbo za wasanii wetu watz kuliko sisi wenyeweKama inaingia Youtube au Instagram kwa kujiibaiba kama unaoga nje bado huwezi kujiita upo huru kwenye Social Media
Tanzania tunaongoza katika matumizi ya jumla ya mitandaoni.
Tuliwauliza tokea mwanzo.kama ni kweli hilo kwanini za waimbaji wao views zimedorola???Alaf nashangaa watu humu wakawa wanasema nchi yao ndio inaangalia nyimbo za wasanii wetu watz kuliko sisi wenyewe
HahahaTuliwauliza tokea mwanzo.kama ni kweli hilo kwanini za waimbaji wao views zimedorola???