Tanzania kinara matumizi ya Social Media za bei ghali

Jesus Christ .. this is not official IMF data .. this is a blog .
Anyone can join their blog community and write this.

View attachment 1520082

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Wewe jamaaa hua ni mjinga sana.

Embu nipe nchi yoyote africa ambayo mnafanana nayo idadi ya watumiaji internet 80%maana mifano yako ni japan Netherlands wakati uko kibela hapo.maana nchi zote africa mpaka zenye uchumi mkubwa kabisa,watumiaji wanacheza nusu au chini ya nusu ya population.

Leta nchi ya africa tutete jambo hapa kwa kutumia akili.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kenya Population 51.39 Million people , Internet users in Kenya 46.87 million People.

51.39-46.87 = 4.52 Million

Kenya kuna Watu million nne laki tano na ishirini tu ndio hawatumii Internet wengine wote waliobaki wanatumia internet. [emoji23]

Tuseme hao million nne ni Watoto hawana simu, wengine hadi wazee wa Kijijini Wana smart phones na wanatumia Internet. Duh mpo juu kama mfuko wa shati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Au ni Foreigners waliopo Kenya wanaongeza idadi hiyo? Just asking.

 
bro, achana na Kenya kabisa kwenye masuala ya internet. utaumiza kichwa bure. internet Kenya ni habari ingine >>>
Kenya’s mobile internet beats the United States for speed
Report: Kenya Enjoys Faster Internet Speed Than U.S., Sweden
Kenya beats Germany in internet service
 
Tafuta utopolo mwingine wa kuongea lakini sio huu

Wenye umeme Kenya hata 25% hawafiki ndio uje useme mnalingana na internet na Japan?

Halafu Japan internet sio kwa sim na laptops tu kama mataifa mengi ya Africa, wao wana smart homes, domestic robots and stuff which are connected to the internet in order to work, mashuleni kote wana laptops and internet, huwezi ninyi mafukara ya mwisho ambao maji ya kuogea tu mtihani mjiweke kwenye rank ya Japan
 
Kwa kenya hii nnayoijua au kuna nyingine, narudia tena kenya haitakaa ishinde Tz kwenye social issues zozote kaa ukilijua hilo na ushahidi upo na tushakupa so ugua pole am sleeping now [emoji113][emoji113]
Unampa official source yeye anakuletea viblog [emoji23][emoji23][emoji23]

Tena hii inafaa kufungulia uzi ikiwa na heading ya "kumbe ndio maana wakaletewa yale maputo"
 

Wewe mbuzi.... (hebu itika kwanza)...

Well, unapoangalia data za nchi za dunia ya kwanza kufananisha na hapo kunya land ndio inaonesha ni jinsi gani ulivyo na utapiamlo wa akili na lofa daraja la kwanza. Unapoleta hizi data lazima uangalie demographic structure ya hizi nchi na literacy rate. Kwa mfano huko Japan na Uholanzi ulipotolea mfano lazima ujue kwamba from primary level wanatumia internet. Kuanzia kujifunzia na kujifunzia. Halafu ndio uangalie na demographic birth rate ipo chini so watoto ni wachache sana.

Halafu ukiwa unatumia internet kwa ipad via voda, kwa cellular via airtel na kwa router via mtn hapo inakuwa ni watu wangapi wanatumia internet? Unajua tofauti ya internet na cellular penetration?
 
Nchi imejaa wajinga wa CCM,
2020 WATU wanareason hivi.
Ukibishana na wajinga huwezi shida argument.
 
Nchi imejaa wajinga wa CCM,
2020 WATU wanareason hivi.
Ukibishana na wajinga huwezi shida argument.
Hoja inapingwa kwa hoja wacha kuwa mpumbavu, ww unaamini kenya inaweza kuzidi USA na Sweden kwa internet uses? Mbn mnakuwa wasenge kiasi hiki ninyi Wakenya? Mbn mnaleta ubishani wa kitoto hv? Ikiwa Tz tu hamuiwezi mnataka kushindana na nchi ambazo maisha yao tu ni internet tosha.
 
We did our census last year . Pumbavu.
Google is using projections from 2012
Sasa ndo hawa Kenya National bureau of statistics ( KNBS) .The people who did the Census.
Stupid Tanzanian.
Kenyan pop: 48 MIl
2019 Kenya Population and Housing Census Results - Kenya National Bureau of Statistics


Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
 
World bank 2018 data

Kenya electricity access was 75 % . Low IQ as usual. 2020 we still connecting more people to the grid .
Kenya Charts Path to Achieving Universal Access to Electricity

Sent from my SM-N975F using JamiiForums mobile app
Closing Sub-Saharan Africa’s Electricity Access Gap: Why Cities Must Be Part of the Solution
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…