Tanzania Kuanza ujenzi wa LNG ($30B) 2022 na Ujenzi wa Kiwanda kikubwa cha Mbolea ($1.9b) 2021

Tanzania Kuanza ujenzi wa LNG ($30B) 2022 na Ujenzi wa Kiwanda kikubwa cha Mbolea ($1.9b) 2021

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania kupitia makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta inatarajia kuanza ujenzi wa mradi wa gesi asilia (LNG) mwaka wa 2022.

Serikali imesema mwezi Machi imepanga kukamilisha mazungumzo mnamo Septemba na makampuni ya kigeni ya mafuta na gesi yanayoongozwa na Equinor ya Norway kuendeleza Kinu cha Kuchakata gesi Asilia (LNG) mkoani Lindi.

"Ujenzi wa mradi huu unatarajiwa kuanza mwaka 2022 na kukamilika mwaka wa 2028," Medard Kalemani, waziri wa nishati alibainisha hayo.

Benki kuu imesema mradi huu wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 30 utaongeza pointi nyingine mbili kwa ukuaji wa uchumi kwa karibu 7%.

"Mradi utakuwa na uwezo wa kuzalisha tani milioni 10 kwa mwaka (MTPA) ya gesi asilia," alisema.

Kampuni ya kimataifa ya mafuta (IOCs) itaendeleza mradi huo kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC).

Kalemani aliiambia bunge kwamba serikali ilizindua mazungumzo mapya mwezi Aprili na kila kampuni ili kuharakisha mchakato huo.


"Tuliamuru timu ya majadiliano ya serikali kushika mazungumzo tofauti na kila mwekezaji, badala ya mpango uliopita wa kufanya mazungumzo ya pamoja na wawekezaji wote," alisema.

"Tunatarajia mazungumzo haya yakamilike ndani ya miezi saba."


Tanzania inakadiriwa akiba ya recoverable ya zaidi ya 57.54 (tcf) ya gesi asilia.

Tanzania tayari inatumia baadhi ya gesi ya uzalishaji wa nguvu na uendeshaji wa vinu vya viwanda. Pia ina mpango wa kujenga kiwanda cha mbolea.

Kalemani alisema ujenzi wa kiwanda cha mbolea chenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.9 utaanza mwaka 2021 na unatarajiwa kukamilika mwaka 2024.


Mradi huo ni ubia kati ya TPDC na Miradi ya Viwanda ya Ferrostaal ya Ujerumani, mtengenezaji wa kichocheo wa Denmark wa Haldor Topsoee na Kampuni ya Fauji Fertilizer Company.

(Taarifa na Fumbuka Ng'wanakilala na Nuzulack Dausen; Kuhaririwa na George Obyere na Emelia Sithole-Matarise)

 



By Fumbuka Ng’wanakilala and Nuzulack Dausen

DAR ES SALAAM, May 28 (Reuters) - Tanzania expects a consortium of international oil companies to start building a long-delayed liquefied natural gas (LNG) project in 2022, its energy minister said on Tuesday.

Construction of an LNG export terminal near huge offshore natural gas discoveries in deep water south of the East African country has been held up for years by regulatory delays.

The government said in March it planned to conclude talks in September with a group of foreign oil and gas companies led by Norway’s Equinor on developing the LNG terminal.

Equinor, alongside Royal Dutch Shell, Exxon Mobil and Ophir Energy and Pavilion Energy, plan to build the onshore LNG plant in Lindi region.

“Construction of this project is expected to start in 2022 and will be concluded in 2028,” Medard Kalemani, Tanzania’s energy minister, said in a budget presentation to parliament.

The country’s central bank believes just starting work on the $30 billion plant would add another two percentage points to annual economic growth of around 7%.


“The project will have capacity to produce 10 million tonnes per annum (MTPA) of liquefied natural gas,” he said.

The international oil companies (IOCs) will develop the project in partnership with the state-run Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC).

Kalemani told parliament that the government launched a new round of talks in April with each company in order to speed up the process.

“We instructed the government negotiation team to hold separate talks with each individual investor, instead of the previous arrangement of holding joint talks with all the investors,” he said.

“We expect these talks to be completed within seven months.”

The talks are aimed at negotiating a “host government agreement” which is seen as a crucial step towards a final investment decision for the project. Tanzania has estimated recoverable reserves of over 57.54 trillion cubic feet (tcf) of natural gas.

Tanzania already uses some of the gas for power generation and running of manufacturing plants. It also plans to build a fertilizer plant.


Kalemani said construction of the $1.9 billion fertiliser plant will start in 2021 and is expected to be commissioned in 2024.


The project is a joint venture between TPDC and German firm Ferrostaal Industrial Projects, Danish industrial catalysts producer Haldor Topsoee and Pakistan’s Fauji Fertilizer Company . (Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala and Nuzulack Dausen; Editing by George Obulutsa and Emelia Sithole-Matarise)
 
Hii inayotumika kuzalisha umeme kinyerezi I &II inatoka wapi? ni kampuni gani inazalisha hii gesi inapita kwenye bomba iliyojengwa baada ya ubakaji?
 
Does it mean all the negotiations have been done and concluded? Where is the lapse in the negotiations? Why every company negotiates separately and not as a consortium?

Tunahitaji maendeleo. Nafikiri tuwe serious baadhi ya haya mambo yafanyiwe kazi na kukamilika kwa wakati. Mozambique iko kwenye advanced stages za kuanza kuchakata gas yao

Tunakwama wapi sisi?
 
2022 tutazindua, Karibu
Tuta,tuki,ita tetetema......mibongo kwa kuigiza
tapatalk_1537469109226.gif
 
$30 billion + $ 1.9bn is the East Africa’s Largest Investment ever witnessed since Creation,
I thought you are saying this should be worldwide news,
Ata bagamayo itakuwa the largest port in Africa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Does it mean all the negotiations have been done and concluded? Where is the lapse in the negotiations? Why every company negotiates separately and not as a consortium?

Tunahitaji maendeleo. Nafikiri tuwe serious baadhi ya haya mambo yafanyiwe kazi na kukamilika kwa wakati. Mozambique iko kwenye advanced stages za kuanza kuchakata gas yao

Tunakwama wapi sisi?

Mkuu tunafanya uhakiki kwanza..
 
Hii inayotumika kuzalisha umeme kinyerezi I &II inatoka wapi? ni kampuni gani inazalisha hii gesi inapita kwenye bomba iliyojengwa baada ya ubakaji?
Hiyo inatumika ikiwa kama gesi lakini hapa tunazungumzia kuibadili hiyo gesi kuwa liquid.
Liquified Natural Gas (LNG) inahusisha kuiblend gas, kuongeza additives kwa ajili ya kuepusha athari za mazingira na kuifanyia liquification kwenye joto dogo sana na presha kubwa (low temperature and high pressure).
Baada ya hapo inakua tayari kuwekwa kwenye mtungi na kusafirishwa.
Hii tuliyonayo hatuwezi kuisafirisha tofauti na kutumia pipelines.
Kwa maneno ni kitu rahisi lakini hii ni project kubwa sana inayogharimu pesa nyingi.
 
Back
Top Bottom