joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
I am feeling good sir, and you?Good morning Joto, how are you feeling.View attachment 1142776
I'm good, I can see since mchapwe na Harambee stars leo ndio umejitokeza tena. Next time learn to tame your mouth.I am feeling good sir, and you?
Usinichafulie huu Uzi wangu, kama unataka maoni yangu juu ya Taifa stars, niambie tukutane wapi. Ila Mimi ninaifananisha Taifa stars kama Uchumi wa Kenya, huwa Taifa stars inajikweza kuliko uwezo wake, nilijua itapoteza michezo yake yote.I'm good, I can see since mchapwe na Harambee stars leo ndio umejitokeza tena. Next time learn to tame your mouth.
Usinichafulie huu Uzi wangu, kama unataka maoni yangu juu ya Taifa stars, niambie tukutane wapi. Ila Mimi ninaifananisha Taifa stars kama Uchumi wa Kenya, huwa Taifa stars inajikweza kuliko uwezo wake, nilijua itapoteza michezo yake yote.
Which sport is Tanzania good at if I may ask?Usinichafulie huu Uzi wangu, kama unataka maoni yangu juu ya Taifa stars, niambie tukutane wapi. Ila Mimi ninaifananisha Taifa stars kama Uchumi wa Kenya, huwa Taifa stars inajikweza kuliko uwezo wake, nilijua itapoteza michezo yake yote.
Kuna wakati ninashindwa kuelewa uwezo wenu wa kufikiria, umesoma kwa makini hilo jibu langu?. Huu Uzi unahusu Tanzania kufundisha Kiswahili Ethiopia, vipi unataka tujadili Taifa Stars, hata hivyo nimekupa msimamo wangu kuhusu Taifa Stars, ila nimekuambia tusichafue lengo la huu Uzi, sasa hiyo ya kukublock inakujaje?, ndio sababu sio rahisi kuelewana na wakenya.Kama hutaki nikuchafulie Uzi then block me if in any case you can.
Heading yako nadhani au kwa mawazo yangu inatakiwa iwe ETHIOPIA KUANZISHA SOMO LA KISWAHILIhttps://www.facebook.com/Chuo kikuu cha Dar es Salaam kimeingia makubaliano na chuo kikuu cha Addis Ababa ili kuanzisha kozi za somo la kiswahili katika ngazi za cheti, Diploma, na Degirii kuanzia mwaka huu 2019.
Hii ni muendelezo wa azma ya Tanzania kujifanya Kiswahili kiweze kuenea Africa nzima na kupunguza nguvu za lugha za kigeni ambazo kwa ujumla bado zinaendeleza fikra maadili ya wakoloni wetu.
Sawa boss, usilie.Kuna wakati ninashindwa kuelewa uwezo wenu wa kufikiria, umesoma kwa makini hilo jibu langu?. Huu Uzi unahusu Tanzania kufundisha Kiswahili Ethiopia, vipi unataka tujadili Taifa Stars, hata hivyo nimekupa msimamo wangu kuhusu Taifa Stars, ila nimekuambia tusichafue lengo la huu Uzi, sasa hiyo ya kukublock inakujaje?, ndio sababu sio rahisi kuelewana na wakenya.
Baba wa Africa kwa uchawi? Ama umbea?Tanzania ndio baba wa Africa, our influence is unspeakable
Hivi kenya hamna uchawi na umbea?Baba wa Africa kwa uchawi? Ama umbea?
Anaujua ukweli uliosema, ila umemchoma sana, msamehe bure.Hivi kenya hamna uchawi na umbea?
Vipi handasi imekolea niniOutta Umojamaica
Prrrrr Kang Kang Banana,
ninayo bas Tunabakana,
hapo nyuma na sidika Mnafanana,
maana kila day bana Unaitangaza,
katangaze basi baby Si hupandana,
panda panda Si hupandana,
katangaze basi baby Si hupandana,
panda panda Si hupandana eeh Madibala nazimanya,
Anaujua ukweli uliosema, ila umemchoma sana, msamehe bure.
Uchawi wa Tanzania leads worldwide, you don't have any competitor in this galaxy.Hivi kenya hamna uchawi na umbea?