Tanzania kuanzisha Somo la Kiswahili Ethiopia

Tanzania kuanzisha Somo la Kiswahili Ethiopia

Kama Nigeria ni 34% these stats are as fake as the person who posted it. By the way how do you say believing in sorcery means that your a witchcraft, I believe witchcraft exist but I don't practice it. IS SUCH A BIG DEAL????.
You can't believe in what you don't practice. 92% of Tanzanians are sorcerers and witches.
 
Ur data source?
There it is.
tapatalk_1561915366298.jpeg
 
Ya mwaka gan hii mkuu?[emoji23] Tz yupo juu ya Naija!!! Wap kina Sierra Leone siwaoni....au ungetupa link kabisa tukaona na mwaka usije kuwa unatupa data za 1970's...
Huyo jamaa ameamua kuvuruga huu Uzi baada ya kuona Tanzania inakuwa baba wa Kiswahili hapa Africa, jambo ambalo Kenya linawauma sana kuona jirani wao Ethiopia amewapuuza na kuja Tanzania nchi inayojulikana kuwa ndiyo inayozungumza kiswahili safi hapa duniani.
 
Kuna wakati ninashindwa kuelewa uwezo wenu wa kufikiria, umesoma kwa makini hilo jibu langu?. Huu Uzi unahusu Tanzania kufundisha Kiswahili Ethiopia, vipi unataka tujadili Taifa Stars, hata hivyo nimekupa msimamo wangu kuhusu Taifa Stars, ila nimekuambia tusichafue lengo la huu Uzi, sasa hiyo ya kukublock inakujaje?, ndio sababu sio rahisi kuelewana na wakenya.
Sawa lakini kiswahili chenu ni kibovu kushinda chetu.
 
Hivi ameona kile kitabu cha kiswahili kilichoandikwa china [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo jamaa ameamua kuvuruga huu Uzi baada ya kuona Tanzania inakuwa baba wa Kiswahili hapa Africa, jambo ambalo Kenya linawauma sana kuona jirani wao Ethiopia amewapuuza na kuja Tanzania nchi inayojulikana kuwa ndiyo inayozungumza kiswahili safi hapa duniani.
 
2018 ndio hiyo ingine, Tanzania is a known sorcery nation.
Ya mwaka gan hii mkuu?[emoji23] Tz yupo juu ya Naija!!! Wap kina Sierra Leone siwaoni....au ungetupa link kabisa tukaona na mwaka usije kuwa unatupa data za 1970's...
tapatalk_1561915370701.jpeg
 
Huyo jamaa ameamua kuvuruga huu Uzi baada ya kuona Tanzania inakuwa baba wa Kiswahili hapa Africa, jambo ambalo Kenya linawauma sana kuona jirani wao Ethiopia amewapuuza na kuja Tanzania nchi inayojulikana kuwa ndiyo inayozungumza kiswahili safi hapa duniani.
Nimemuona anaingizia mara harambee stars mara uchawi[emoji23]... lengo kupoteza dhumuni la thread...yupo yy na mwenzake hivi mabingwa sana wa kuruka vihunzi...
 
Nimemuona anaingizia mara harambee stars mara uchawi[emoji23]... lengo kupoteza dhumuni la thread...yupo yy na mwenzake hivi mabingwa sana wa kuruka vihunzi...
Uchawi upo kila mahala ila wa huko kwenu ni wa kushangaza. Hujawahi sikika pengine duniani kote.
 
Mambo ya Harambee stars hata usiongelee juu ilishawanyamazisha. Leo msisahau kubeba gunia ya kuingiza magoli.
Nimemuona anaingizia mara harambee stars mara uchawi[emoji23]... lengo kupoteza dhumuni la thread...yupo yy na mwenzake hivi mabingwa sana wa kuruka vihunzi...
 
Your stupidity is unheard of. With that your watery brain unadhani wachina wangeandika hiyo book wangeeka map ya Tz? You are the reason why Tz is the most illiterate nation in East Africa.
Sibishani na watu wenye tribalism, xenophobia nk
Au ni kwa sababu hawajaweka map ya tribalism country
 
Back
Top Bottom