Tanzania kuendelea na Mkataba wa Adani wa Dola Milioni 95 kuendesha Gati za Bandari ya Dar Licha ya Tuhuma za Rushwa

Duh!

Kiukweli ipo siku hawa wanasiasa wetu atatokea kiongozi mwingine kama JPM atawanyonga wote-tuanze upya! Huwezi ukawa na akili au nia njema na watu wako ukafanya maamuzi kama haya! No way.
Hapo ni maamuzi gani mabaya yamefanywa au ndio hasira za kushindwa Uchaguzi
 
Hofu yangu. Wanakimbilia mahakama za kimataifa tukivunja mikataba. Na wanashinda na kuendelea kulipwa billions hata kama tutasitisisha huduma. Kama IPTL downs, buzwagi nk
 
Ingekuwa inaendeshwa kwa Sheria na Taratibu basi hizi pesa ambazo tunalipa kila siku kwa kushindwa Kesi sababu ya kuvunja mikataba kama hii ya Mangungo wa Msovero waliotuingiza kwenye hio Mikataba wangekuwa Lupango na sio Kuendelea kula Matunda ya Upuuzi wao...
 
Sasa unataka tuendelee kuvunja mikataba?
 
Sasa unataka tuendelee kuvunja mikataba?
Tusiingie kwenye Mikataba ya kipuuzi in the first place..., na Hizi Mahakama za Kimataifa ambazo zinaleta loopholes za corporations kuendelea kunyonya developing countries na kuharibu mazingira vifungu vibadilishwe au kwenye mikataba tusiende huko..., sababu kinachoendelea ni watu kuingia kwenye upuuzi wakijua wao na vikaragosi wao wasio wazalendo tutapelekana mahakamani ili wajilipe...

Ila kabla ya yote nilishauri hapa bila total 100 percent transparency kwenye mali ya UMMA tutaendelea kupigwa mpaka kesho (na wanaotupiga wala sio mataifa ya nje bali tunaodhani ni wenzetu humu humu nchini)

 
Kumbe huyo ndio tuliambiwa ni DP World? Tumekwishaa. wavunje haraka kabla hawajapatwa na kashfa zaidi.
 
Duh!

Kiukweli ipo siku hawa wanasiasa wetu atatokea kiongozi mwingine kama JPM atawanyonga wote-tuanze upya! Huwezi ukawa na akili au nia njema na watu wako ukafanya maamuzi kama haya! No way.
Mtu pekee wa kusafisha UCHAFU huu ni Kassimu Majaliwa!!!
 
Serikali ya CCM haijazoea kitu kinaitwa uwajibikaji...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…