Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

Hahaha, gap la kufa kwa njaa na madeni ndio linaloongezeka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnao weweseka ni ninyi wenyewe, sisi huku tunachapa kazi, kwetu Kenya ni mtoto mdogo sana hatumfikirii kabisa, ninyi huko kwenu kila siku mnawaza Tanzania.
Tunawaza Tanzania?? 😂 😂 😂
Hata huu uzi imeanzishwa na mdanganyika! 😂 😂 Sasa nani anawaza mwingine?
 
This chorus has been sung for far too long. It needs to get some meaning. It's now becoming too boring and monotonous!
 
Huyo mzungu ni mtanzania?, hiyo TV station ni kutoka Tanzania?. Onyesha Interview yoyote ya Tanzania inayozungumzia Tanzania kuipiku Kenya. Huku Tanzania hakuna mtu ansyezungumzia Kenya zaidi ya sisi hapa JF.
JF iko Kenya??
 
But for real, watu wengi sana hapa JF hawajui kama wewe ni chali ama dem. Watu wamechanganyikiwa. Kwanza team mafisi hehe 😁 😁 wamechanganyikiwa sana.

Mzee team "bingwa wa mifupa".
Hata wee mwenyewe unasubiri mkono udondoke 😋😋😋.
 
Tunawaza Tanzania?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata huu uzi imeanzishwa na mdanganyika! [emoji23] [emoji23] Sasa nani anawaza mwingine?

sasa ulitegemea mkenya aanzishe uzi wa kuiponda nchi yake hapa jf!!!!

umelewa wewe[emoji16][emoji16]
 
Tuwafikie Algeria tu ndio tutakua tumetoboa Kenya nchi Ya vipande huna wewe ni hohehae unacho wewe Ni sonko
 
ENDAPO RAIS MAGUFULI ATATEKELEZA ALIYOYASEMA WAKATI ANAFUNGUA BUNGE LA 12 BUT ENDAPO TU KAMA ATATEKELEZA MAANA IPO HALI YA KUGEUKA GEUKA AMBAYO NDIO ADUI MKUBWA WA WAWEKEZAJI NCHINI WHY NOT OVERTAKE?THIS CONS MEN COUNTRY
 
sasa ulitegemea mkenya aanzishe uzi wa kuiponda nchi yake hapa jf!!!!

umelewa wewe[emoji16][emoji16]
Sasa mbona uiponde nchi yenye hauwazi? That's the big question
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…