Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

No country in this world owes any country anything!

Capitalism is war,Kenya is not here for Tanzania's or anybody's benefit and neither do Tanzania!

Development ni biashara,na biashara zetu globally zipo kwenye capitalist medium,kuna dimensions za competition and rivary.

Tanzania's rival and close competitor ni Kenya,whether you like or not.

They are whooping our asses since 1980's mpaka leo,na the funny thing is,the gap is becoming increasingly bigger!

Wewe kuja hapa na kusema huna rivary wala competition with Kenya or any country on this planet ni dishonesty na lies tupu!
Hahaha, gap la kufa kwa njaa na madeni ndio linaloongezeka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnao weweseka ni ninyi wenyewe, sisi huku tunachapa kazi, kwetu Kenya ni mtoto mdogo sana hatumfikirii kabisa, ninyi huko kwenu kila siku mnawaza Tanzania.
Tunawaza Tanzania?? 😂 😂 😂
Hata huu uzi imeanzishwa na mdanganyika! 😂 😂 Sasa nani anawaza mwingine?
 
Professor of wa chuo maarufu nchini Kenya katika mahojiano na kituo cha television cha Citizen amesema baada ya miradi ya Standard Gauge Train na Mwalimu Nyerere Hydro Power Project vikikamilika uchumi wa Tanzania utapanda na kuzidi uchumi wa Kenya.

View attachment 1638127
This chorus has been sung for far too long. It needs to get some meaning. It's now becoming too boring and monotonous!
 
Huyo mzungu ni mtanzania?, hiyo TV station ni kutoka Tanzania?. Onyesha Interview yoyote ya Tanzania inayozungumzia Tanzania kuipiku Kenya. Huku Tanzania hakuna mtu ansyezungumzia Kenya zaidi ya sisi hapa JF.
JF iko Kenya??
 
But for real, watu wengi sana hapa JF hawajui kama wewe ni chali ama dem. Watu wamechanganyikiwa. Kwanza team mafisi hehe 😁 😁 wamechanganyikiwa sana.

Mzee team "bingwa wa mifupa".
Hata wee mwenyewe unasubiri mkono udondoke 😋😋😋.
 
Tunawaza Tanzania?? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata huu uzi imeanzishwa na mdanganyika! [emoji23] [emoji23] Sasa nani anawaza mwingine?

sasa ulitegemea mkenya aanzishe uzi wa kuiponda nchi yake hapa jf!!!!

umelewa wewe[emoji16][emoji16]
 
Tuwafikie Algeria tu ndio tutakua tumetoboa Kenya nchi Ya vipande huna wewe ni hohehae unacho wewe Ni sonko
 
Hahaha, nani wenye kuimba huo wimbo kama sio ninyi wenyewe kutokana na hofu na jinsi mnavyoiogopa Tanzania?. Wakenya mnatuogopa sana hadi sisi wenyewe tunawashangaa
Tanzania ya viwonder ni nchi ya kuogopa? 😂
1849697_SERIKALI_YA_VIWANDA_BONGO.jpg
 
ENDAPO RAIS MAGUFULI ATATEKELEZA ALIYOYASEMA WAKATI ANAFUNGUA BUNGE LA 12 BUT ENDAPO TU KAMA ATATEKELEZA MAANA IPO HALI YA KUGEUKA GEUKA AMBAYO NDIO ADUI MKUBWA WA WAWEKEZAJI NCHINI WHY NOT OVERTAKE?THIS CONS MEN COUNTRY
 
Back
Top Bottom