Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

Tanzania kuipita Kenya kiuchumi

Bibi yako ndio Nyumbu,nipo nae group moja basi....

Brother,nchi inajenga pesa kwa uzalishaji na sio kujenga matope..

Watu wazalishe shambani,madini yatoke,watu wafanye kazi jasho litoke tuuze nchi za nje tupate dola ndio maendeleo yanakuja sio kununua usenge wa ndege na kufyeka miti mtoni ujenge umeme wa uongo usioweza kuwaka popote kwa kukopa hela kwa riba ya 50% mpaka 5th generation ndio ije kulipa deni

Mbuzi nyie..fanyeni kazi mashambani mtoe mavuno muuze ndio hela sio hizi bangi unatoa hapa

Una matatizo makubwa ww nyumbu, ila sikushangai, ni nyumbu, what more shud I expect. Umeme wa uongo? Bila huo umeme, kazi za shambani to final product zitafanikiwa aje?
I must be arguing with completely zero brain here, bila hizo ndege, mazao ya mashambani kama maua yatasafirishwaje hadi ulaya, au unataka tuendelee kutumia kq forever. You're a piece of shit mahn.
 
Mimi ni Mtz, but it will never happen!

Dunia ya leo sio ya enzi za ujima, ukiachwa, umeachwa tu.. hakuna jinsi.
Unazikumbuka zile hesabu za darasa za saba za mwendo, muda, umbali na mwendo kasi? Ni kwamba, haijalishi nani katangulia, ukiwa na mwendokasi mkubwa kuliko mwenzako, ni suala la muda tuu kumfikia na kumpita.
 
Piece of shit just like you!

Nyumbu bibi yako mzazi!

Shambani huzalishi,unaenda kujenga umeme wa kupeleka wapi?

Shamba ulilonalo sasa hivi,mbegu tu inakushinda,eti unaenda kujenga umeme?

Nani kakwambia shamba la mahindi pale kibaigwa linataka umeme?Hakuna shamba lenye umeme pale!

Ila mashamba yamefungwa watu hawana hata mia ya kilo ya mbegu....

Shamba gani la mkulima wa kawaida Mtwara lina umeme?Hakuna hata moja ila mashamba yamefungwa sababu mliharibu korosho nyie wapumbavu!

Zalisheni shambani kwanza,exapnsion will take care of itself!

Mbuzi maziwa wewe!

Woi, I feel sorry for your zero brain. Nmegundua ww nyumbu, specifically you, ni shallow sana. Kwani hizi machines zinazosaga mahindi zinatumia kinyesi chako?
Kuna small machines to huge ones, specifically designed kwa shughuli ya kubangua korosho, za huko mtwara, unadhani zinatumia nn?
 
Kweli tutaipita kiuchumu maana mafuta ya kupikia litre 20 shilingi 75000 elf
 
Back
Top Bottom