Hahahhahaha hili si jukwa la twa twa
Hii chorus ya Tz kuipiku Kenya kiuchumi inafanana sana na ile ya kuhamia Dodoma. [emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chorus ya Tz kuipiku Kenya kiuchumi inafanana sana na ile ya kuhamia Dodoma. [emoji1]
Hapo unajikaza tu kuandika uharoSasa mzungu akisema kitu wengine wenu mnapata nyege. Tulieni. Tanzania itatupita kiuchumi ile siku Yesu atarudi.
Bibi yako ndio Nyumbu,nipo nae group moja basi....
Brother,nchi inajenga pesa kwa uzalishaji na sio kujenga matope..
Watu wazalishe shambani,madini yatoke,watu wafanye kazi jasho litoke tuuze nchi za nje tupate dola ndio maendeleo yanakuja sio kununua usenge wa ndege na kufyeka miti mtoni ujenge umeme wa uongo usioweza kuwaka popote kwa kukopa hela kwa riba ya 50% mpaka 5th generation ndio ije kulipa deni
Mbuzi nyie..fanyeni kazi mashambani mtoe mavuno muuze ndio hela sio hizi bangi unatoa hapa
Unazikumbuka zile hesabu za darasa za saba za mwendo, muda, umbali na mwendo kasi? Ni kwamba, haijalishi nani katangulia, ukiwa na mwendokasi mkubwa kuliko mwenzako, ni suala la muda tuu kumfikia na kumpita.Mimi ni Mtz, but it will never happen!
Dunia ya leo sio ya enzi za ujima, ukiachwa, umeachwa tu.. hakuna jinsi.
Piece of shit just like you!
Nyumbu bibi yako mzazi!
Shambani huzalishi,unaenda kujenga umeme wa kupeleka wapi?
Shamba ulilonalo sasa hivi,mbegu tu inakushinda,eti unaenda kujenga umeme?
Nani kakwambia shamba la mahindi pale kibaigwa linataka umeme?Hakuna shamba lenye umeme pale!
Ila mashamba yamefungwa watu hawana hata mia ya kilo ya mbegu....
Shamba gani la mkulima wa kawaida Mtwara lina umeme?Hakuna hata moja ila mashamba yamefungwa sababu mliharibu korosho nyie wapumbavu!
Zalisheni shambani kwanza,exapnsion will take care of itself!
Mbuzi maziwa wewe!
Kweli tutaipita kiuchumu maana mafuta ya kupikia litre 20 shilingi 75000 elf