Tanzania Kuiuzia Umeme Kenya Bwawa la Nyerere Likikamilika. AfDB Yataka Mikataba ya Mauziano isainiwe haraka

Tanzania Kuiuzia Umeme Kenya Bwawa la Nyerere Likikamilika. AfDB Yataka Mikataba ya Mauziano isainiwe haraka

Mradi wa umeme wa JNHPP tumeujenga kwa fedha zetu wenyewe kwa gharama isiyopungua $ 5 billion. Hata kama tulikopa ni sisi ndio tutakaoulipa huo mkopo kwa bajeti yetu na siyo Kenya.

Sasa mradi tumeukamilisha na tunategemea utakuwa full operational kuanzia mwezi June 2024. Sasa hawa AfDB wanatulazimisha kuupeleka haraka umeme huo Kenya, just because walitukopesha ujenzi wa connection line kati ya Kenya na Tanzania ya $ 309 million tu.

Watanzania wanapaswa kuufaidi mradi huu kwa kupata umeme wa uhakika wa bei nafuu isiyozidi senti moja ya dollar kama ilivyo huko Ulaya, China na USA ili viwanda vyetu viweze ku compete fairly na viwanda vingine duniani na watanzania wafurahie maisha na waweze kutumia umeme kupikia badala ya kuni na gesi.

Watanzania wenyewe ndiyo watakaoamua ni kiasi gani cha umeme wa gesi cha ziada watakachomuuzia Kenya au Uganda na kwa bei gani. Tutawauzia ule wa gesi wa bei kubwa, huu wa JNHPP utakuwa wa kwetu tu.
Rudi Upya kusoma maelezo ya Tanesco hapo Juu.

Unadhani huo umeme umejengwa Ili wewe uhawiwe au ununue au ulete pesa?

Nchi zingine zingekuwa na Viongozi wajinga kama wewe nadhani Mikoa yote ya mipakani isingekuwa inapata umeme kutoka Nchi jirani.

Mwisho laiti kama connectivity ya grid ingeanza mapema sana Kwa kutumia njia za laini kubwa yaani kv 400 plus baina ya Nchi za Afrika , Changamoto za umeme zinazoendelea A.Kusini,Tzn,Kenya nk zisingekuwepo maana tungenunua tuu umeme iddle ya Ethiopia maisha yanaendelea.

Ndio maana naunga mkono ujenzi wa.njia za kuunganisha umeme unaoendelea baina ya Mataifa mbalimbali.

View: https://www.instagram.com/p/C2-EpSMMQwC/?igsh=YjVpZXV0c251Z2Jy
 
Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB imezitaka Tanzania na Kenya kusaini mikataba mitatu ya Mauziano ya umeme haraka Kufuatia kukamilika Kwa mradi wa kuunganisha gridi ya Nchi hizo mbili ambao umefadhiliwa na African Development Bank.

View: https://www.instagram.com/p/C27F55go1Cz/?igsh=emo4eGo4cDQ3d3li

My Take
Kenya wangekuwa wameunganisha grid Yao na Ethiopia,shida za upungufu wa umeme tunazopta saizi zisingekuwepo.

View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1754377316749209705?t=Uimk5QmmxAVczvqTICrptQ&s=19

Kumbe Tanzania ndio mteja Kupitia miundombinu ya Kenya 🤣🤣👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DG_cVvRMqG7/?igsh=MWpleWpxczV0aXEwZw==

Harafu Kwa nini AfDB inalazimisha?
 
Bwawa la umeme litazalisha megawatt zaidi ya 2,000 ambapo ukijumlisha na zilizopo Kwa Sasa itakuwa zaidi ya megawatt 3,600.

Uwezo wa Tzn kutumia umeme sio zaidi megawatt 2,000 so ziaid tutauza Kenya.

Kabla ya kutukana shirikisha ubongo.

Kama Bwawa la Nyerere litazalisha Umeme wa ziada huo tunaotaka kununua ni wanini?
 
Nchi imewashinda nyinyi achieni kizazi kipya nyie kaleeni wajukuu!
 
Back
Top Bottom