๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ก๐˜†๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ

๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ก๐˜†๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ

Tanzania kuja na usafiri wa magari ya kutumia Nyaya Angani

View attachment 3232804

Hii sio stori Tena ni Mafanikio makubwa Tanzania inaenda kupata chini ya Rais mpendwa kwa sasa Dokta Samia Suluhu Hassan, Tanzania kuanzisha Usafiri wa Angani ambao utakua unatumia Nyaya.

Zaidi ya kampuni Tano za kigeni kutoka Misri, ufaransa, Uswizi pamoja na wawekezaji kutoka ndani ya Tanzania wameonyesha nia ya kutaka kuwekeza katika usafiri wa kutumia Nyaya angani.

View attachment 3232805

Kwa ufupi tu Usafiri wa Cable ni usafiri wa kisasa ambao utumika kusafirisha abiria na bidhaa mbalimbali kupitia mfumo wa cable angani ambazo zimeunganishwa kwa waya ambao ujulikana kama Cable cars.

View attachment 3232806

Usafiri huu unakua wa Angani ambapo watu wataweza kusafirishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kupitia magari yenye Cable bila kushuka chini ni Anga kwa Anga.

View attachment 3232808


Mkurugenzi wa idara ya uhusiano na Mawasiliano Latra Salum Pazzy ameimbia Citizen kampuni mbili kutoka Ufaransa na Misri tayari zimejitokeza zikisubiria Idhini ya kuwekeza kwenye sekta hiyo.
Kwa umeme huuhuu robo kibaba?Hebu waambie hao lunatics nimewafokea na wajitulize kama kasuku!
 
Tangu nipande treni la Umeme kisha kusimama ghafla porini kisa Umeme kukatika, ndiyo nikajua hii Nchi hatuko serious kwenye uendeshaji wa miradi yetu.

Huu Mradi nao unaweza kutushinda, japo hauna ugumu sana kwenye uendeshaji

Ndiyo maana Mzee Mwinyi aliwahi kutuita Kichwa cha Mwendawazimu ๐Ÿ™Œ
 
Mwendokasi mmeshindwa, Treni mara izime mara ifufuke. Maituletee majanga ya halaiki jamani na hizo cab car.
 
Tanzania kuja na usafiri wa magari ya kutumia Nyaya Angani

View attachment 3232804

Hii sio stori Tena ni Mafanikio makubwa Tanzania inaenda kupata chini ya Rais mpendwa kwa sasa Dokta Samia Suluhu Hassan, Tanzania kuanzisha Usafiri wa Angani ambao utakua unatumia Nyaya.

Zaidi ya kampuni Tano za kigeni kutoka Misri, ufaransa, Uswizi pamoja na wawekezaji kutoka ndani ya Tanzania wameonyesha nia ya kutaka kuwekeza katika usafiri wa kutumia Nyaya angani.

View attachment 3232805

Kwa ufupi tu Usafiri wa Cable ni usafiri wa kisasa ambao utumika kusafirisha abiria na bidhaa mbalimbali kupitia mfumo wa cable angani ambazo zimeunganishwa kwa waya ambao ujulikana kama Cable cars.

View attachment 3232806

Usafiri huu unakua wa Angani ambapo watu wataweza kusafirishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kupitia magari yenye Cable bila kushuka chini ni Anga kwa Anga.

View attachment 3232808


Mkurugenzi wa idara ya uhusiano na Mawasiliano Latra Salum Pazzy ameimbia Citizen kampuni mbili kutoka Ufaransa na Misri tayari zimejitokeza zikisubiria Idhini ya kuwekeza kwenye sekta hiyo.
Hili nchi wakati mwingine linakuwa kama la kipumbavu! Tunaweza mambo makubwa huku madogo tu yametushinda!! Usafiri wa Mwendokasi tu ni kizungumkuti, SGR hiyo hapo bado tunasuasua ije iwe magari ya nyaya? Tuache upumbavu!
 
Huwa mnakera mnaposema Wa kisasa
Muwe mnasoma pia usafiri huu ulianza lini duniani
Mwaka 1644 sio wa kisasa ni miaka 381 iliyopita
 
Tanzania kuja na usafiri wa magari ya kutumia Nyaya Angani

View attachment 3232804

Hii sio stori Tena ni Mafanikio makubwa Tanzania inaenda kupata chini ya Rais mpendwa kwa sasa Dokta Samia Suluhu Hassan, Tanzania kuanzisha Usafiri wa Angani ambao utakua unatumia Nyaya.

Zaidi ya kampuni Tano za kigeni kutoka Misri, ufaransa, Uswizi pamoja na wawekezaji kutoka ndani ya Tanzania wameonyesha nia ya kutaka kuwekeza katika usafiri wa kutumia Nyaya angani.

View attachment 3232805

Kwa ufupi tu Usafiri wa Cable ni usafiri wa kisasa ambao utumika kusafirisha abiria na bidhaa mbalimbali kupitia mfumo wa cable angani ambazo zimeunganishwa kwa waya ambao ujulikana kama Cable cars.

View attachment 3232806

Usafiri huu unakua wa Angani ambapo watu wataweza kusafirishwa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kupitia magari yenye Cable bila kushuka chini ni Anga kwa Anga.

View attachment 3232808


Mkurugenzi wa idara ya uhusiano na Mawasiliano Latra Salum Pazzy ameimbia Citizen kampuni mbili kutoka Ufaransa na Misri tayari zimejitokeza zikisubiria Idhini ya kuwekeza kwenye sekta hiyo.
Yanatumika siku nyingi tuu kufanya.utalii kule Kilimanjaro mountain
 
Kumbukeni bado watoto wetu wanakaa chini mashuleni, walimu hawatoshi na uhaba wa wafanyakazi sekta nyingi, matundu ya vyoo tu bado.
Do the basics before you can advance further.
Vichaa
 
Kumbukeni bado watoto wetu wanakaa chini mashuleni, walimu hawatoshi na uhaba wa wafanyakazi sekta nyingi, matundu ya vyoo tu bado.
Do the basics before you can advance further.
Sasa mkuu, kwa pale Buguruni au Vingunguti, vp kama gari ya waya itapita juu ya choo cha passport size. I can't imagine
 
Back
Top Bottom