MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Pemba kufanya Nini watu mko wachache mtarudisha faida kweliZanzibar kipo tayari, hicho kingine kingesogezwa pemba hivo wajameni na siye watu ivyo!
mega projects za Egypt ni kama zipi?Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.
Nchi ina project za Kiswahili sana
ilikuwa iwe 60,000 ila aliyekuwa katibu mkuu ndugu said yakubu alisema serikali ilifanya utafiti ya watu wanaoingia viwanjani kutazama mpira kwa mechi nyingi hawazidi 30,000 hivyo serikali iliamua msaada wa mfalme wa morocco utumike kujenga viwanja viwili (arusha na dodoma) na serikali itaongeza fedha ili miradi hiyo ikamilike.Dodoma kinajengwa kiwanja cha watu 90,000 kwa masaada toka morocco
Duh,una uhakika hizi project hazina faida kiuchumi?Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.
Nchi ina project za Kiswahili sana
wameshindwa kulipa fidia JNIA eneo la kipunguni. ahadi hewa hizoHii serikali ya CCM na ahadi zake ni ya kuamini kweli?
Hawa watu ni waongo na wazandiki wa mwisho. Hawafai na hawaeleweki!
Wameshindwa kutatua changamoto ya umeme ambao ndiyo muhimu kuliko hivyo viwanja miaka na miaka leo wanajiombeleza pesa toka kwa "mabeberu" Ili wajenge viwanja vya kuchezea??
Ni mwanza sio ukerewe visiwaniMwanza mbona sijaona harakati zozote za ujenzi kama mtoa mada anavyosema!Bn
Mwanza kuna eneo limetengwa kitambo sana wilaya ya Ilemela (Buswelu) na limepimwa kabisaMwanz subiri, eneo linatafutwa