Tanzania kujenga viwanja 6 vipya bora vya mpira kabla ya 2026

Tanzania kujenga viwanja 6 vipya bora vya mpira kabla ya 2026

Na sisi huku Mafia mtujengee kimoja, hatuwezi kuwa tunapanda maboti kuja kuangalia mechi huko kila mara.
 
Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.

Nchi ina project za Kiswahili sana
mega projects za Egypt ni kama zipi?
 
Dodoma kinajengwa kiwanja cha watu 90,000 kwa masaada toka morocco
ilikuwa iwe 60,000 ila aliyekuwa katibu mkuu ndugu said yakubu alisema serikali ilifanya utafiti ya watu wanaoingia viwanjani kutazama mpira kwa mechi nyingi hawazidi 30,000 hivyo serikali iliamua msaada wa mfalme wa morocco utumike kujenga viwanja viwili (arusha na dodoma) na serikali itaongeza fedha ili miradi hiyo ikamilike.
 
Watanzania hawajui mpira.
Simba na Yanga zinafaulu sababu ya kuwekeza kwa wachezaji nje ya Tanzania
 
Ndio vipa umbele vyetu? Nchi kama Egypt ina Mega project za kuifanya kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Africa ndani ya miaka 2 au hata mmoja ijayo, sisi tuko busy na ujinga, Project za kuvutiwa waswahili wakaa vijiweni.

Nchi ina project za Kiswahili sana
Duh,una uhakika hizi project hazina faida kiuchumi?

Ndio nyie mnaolalamikia kampuni za kubet huku ndio zinazoingiza pato kubwa la nchi
 
VIWANJA KWAAJILI YA KUTUPUMBAZA NA BURUDANI ZA SIMBA NA YANGA TUSIWAZE UKOSEFU HUDUMA ZA KIJAMII, SASAHIVI KILA HUDUMA YA KIJAMII NI MBOVU (UMEME,MAJI,USAFIRI N.K) NA STILL WANAANGAIKIA VIWANJA VYA MPIRA KWELI!!!?

WANANCHI INABIDI MUAMKE
 
Hii serikali ya CCM na ahadi zake ni ya kuamini kweli?

Hawa watu ni waongo na wazandiki wa mwisho. Hawafai na hawaeleweki!

Wameshindwa kutatua changamoto ya umeme ambao ndiyo muhimu kuliko hivyo viwanja miaka na miaka leo wanajiombeleza pesa toka kwa "mabeberu" Ili wajenge viwanja vya kuchezea??
wameshindwa kulipa fidia JNIA eneo la kipunguni. ahadi hewa hizo
 
Pesa zetu zimekosa kazi badala ya kuwekeza maeneo muhimu,utadhani tunahitaji sana burudani.
 
Back
Top Bottom