Tanzania Kujeni Hapa... What are this? SGR update

Icho sio kichwa kwaajili ya kubeba abiria wala mizigo icho ni cha kui fix ile reli ..maqna baada ya ku install lzm iwe fix na kuzamishwa na kuchanganya mawe (kokoto) zile ndogo ndogo .... Embu tulia ndugu usikirupuke sindano bado haijakuingia
 
Tumia Akili walau kidogo
Tanzania haita kuja kutumia Mitungi kama ya Kenya Never Ever
 
Leo ndo Nimegundua kenyans wa jf wako na akili fupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utazidi kugundua…..kesho naona ukipewa kazi na JPM wa kutafutia kuni zitakazotumika kwa huo mkebe wa buleti treni
 
Ukiangalia comments Za vijana Wa madaraka express ndio unapata picha kumbe ule mtambo wao Wa gongo Ni kweli unawaumiza sana vichwa....

Nawaambia hv treni walizoagiza TRC hamjawahi kuota siku zikifika ndio mtaelewa nawaona mnaweweseka na vitu by mkandarasi as if hamjui kusoma
 
Mimi nimeona wana TRC wanatafuta clicks. Hio picha imewaweka kwa mtandao sana!
 
The turkish have raped Tanzania my friend. This is a police case.
Yaan ngojeni mtaaibika vibaya nyinyi wa 254 mjueee siku si nyingi maana tutawaaibisha sana siku iyo mzigo wetu halisi utakapo tua
 
Hata kama hicho kinafaa maana kwanza ni kizuri kuliko chenu pia tz imetumia gharama ndogo zaidi yenu [emoji23][emoji23]

Kubwa zaidi inajengwa kwa pesa za watanzania
Wap SGR ya Kenya imeishia nikumbushe miss?
 
hizi screen images nimezimeitoa kwenye ukurasa rasmi wa shirika la reli tanzania kule instagram.

wakenya someni mistari niliyoiwekewa mstari mweusi, bila shaka mkishaisoma na kuilewa mtabaini ni kiasi gani nyinyi ni wapumbavu na wajinga.


 
But wewe.
Tanzania leader and Kenyan leaders all are the same.
Wezi waizi majizi.

Wananchi wamepigwa.
Tuunganeni tulie kwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…