Tanzania kulipiza kwa nguvu zaidi kufuatia Kenya kuwakataza Watanzania kuingia Kenya

Tanzania kulipiza kwa nguvu zaidi kufuatia Kenya kuwakataza Watanzania kuingia Kenya

Nani aliyelia?, subiri Jumatatu utasikia kama balozi wenu hapa Tanzania hatopiga magoti kuomba suluhu.

Kitu kimoja lazima mfahamu kwamba, tutaheshimu maamuzi yenu, lakini na ninyi ni lazima muheshimu maamuzi yetu.

Pia lazima mjue kwamba, mkichukua uamuzi wowote wenye kuihusu Tanzania bila kutushirikisha na huo uamuzi ukawa na madhara kwa Tanzania, jueni kwamba tutalipiza, kamwe hatutokaa kimya.

Ni muhimu kama majirani tukaishi kwa kuheshimiana na kushirikishana.
Endelea kulia Basi.
 
Habari njema ni kwamba hivi visa unavyoona ni comeback baada ya kugundua tunakwenda kuwatoa kwenye ramani za kibiashara chini ya miaka 10 ijayo.

Ukitaka kuamino subiri uone jibu linalokuja,ndio utajua draft tunawaacha wasogeze wao kete kwanza ili tuwazibue sawa sawa.unajua ni jinsi gani kumnyonga nyani yataka roho ngumu,vinginevyo unamfunga katka gari lililokosa breki kisha unamuachia nalo mlimani kama hivi tunavyotaka kuwafanya.
Tumezuia Tanzanite kwa kiasi kikubwa, tunakimbizana kuhusu utalii, tunaanza kusafirisha mazao yetu na bado watazidi kuisoma namba
 
ur so intelligent au upo kitengo hapo ?
Unajua Kenya wamejiloga kwa sababu wakitaka kuja kuzungumza na sisi tutawaambia ATCL pia tupatiwe routi ya Kenya yaani wamerahisisha mchakato wa kuomba ATCL kwenda routi ya kenya
 
Unajua Kenya wamejiloga kwa sababu wakitaka kuja kuzungumza na sisi tutawaambia ATCL pia tupatiwe routi ya Kenya yaani wamerahisisha mchakato wa kuomba ATCL kwenda routi ya kenya
Yan Sio route ya Nairobi tuu hata international flight zilizokuwa lazima ziungie Nairobi Sasa zitalazimika Kama hakuna ulaxima kuanzia Safari dar to Dubai au dar to Amsterdam Nairobi itaanza kuwa stori tuwashukuru Kenya kwa kujichanganya au tuseme hivi KENYA MWANA KULIFIND MWANA KULIGET
 
Wakenya wamgejua kuwa wanapambana na KAMATI YA ROHO MBAYA nadhani huo uamuzi wao wasingeuchukua kabisaaa.
 
Tanzania vs Kenya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji39]
20200801_175205.jpeg
 
Kumbe majengo ya Nairobi ni mazuri!! Sasa unabisha nini kwamba wako vzr
Ukiangalia umaskini wa kenya na Tz ni tofauti kabisa kenya maskini ni maskini kweli...maskini wa Tz yaan aghalabu. Mfano tazama kuke kaskini mqa kenya Turkana mandela county desert yaan people dies.
 
Ukiangalia umaskini wa kenya na Tz ni tofauti kabisa kenya maskini ni maskini kweli...maskini wa Tz yaan aghalabu. Mfano tazama kuke kaskini mqa kenya Turkana mandela county desert yaan people dies.
Umefika Kenya au unabwabwaja tu ili kufurahisha Lumumba
 
Umefika Kenya au unabwabwaja tu ili kufurahisha lumumba
Research don't lie buddy No need for for me to be there. Au una bisha pia ya kuwa hali ni mbaya kule Northern Turkana. Ss iyo hali ya northern turkan Tz huwezi kuta a place like that never ever.
 
Serikali ya TZ isilegeze uzi juu ya hii ban ya KQ. acha hii iwe fursa ya ndege za mashirika akubwa kutua TZ moja kwa moja. kwanza hata kama Tz itaruhusu waTz wapitie Kenya kwa jinsi wa KE walivyo watawanyanyasa sana waTZ.
 
Kenya n kuwapeleka mbio mpaka wakae nafasi yao ya pili
 
By nature ukanda huu(#Great lakes)

1 Congo
2. Tz
3. Ug
4. Kenya
Burundi na Rwanda wangefuatia so hawa kenya wanabebwa na ujanja ujanja tu na ni suala la muda
Kenya n kuwapeleka mbio mpaka wakae nafasi yao ya pili
 
Research don't lie buddy No need for for me to be there. Au una bisha pia ya kuwa hali ni mbaya kule Northern Turkana . Ss iyo hali ya northern turkan Tz huwezi kuta a place like that never ever
Unaijua miko yenye shida au maisha magumu Tanzania. Tuanzie hapo kwanza.

Usikute unahangaika na jirani huku hujui km watoto wako wanakula ama la
 
wakenya ndo waliomuua mwafrika mwenzao Gadaf kwa ajili ya wazungu!
 
Back
Top Bottom