The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Ninayoijua ni majimoto - ngoreme Serengeti MaraNaomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?
Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.
Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.
Ahsante.
Iko Kilimanjaro inaitwa kukiletwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Samahan waweza nitajia ni sehem gan mbeya yapo haya maji moto?..ukinipatia pia coordinates itakuwa vizuri zaidMbeya ipo yaani ukiweka kiazi kinaiva sana tu
Inaitwaje hii ya manyara?
Mbeya pia tunayoNaomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?
Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.
Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.
Ahsante.
Ya kondoa mjin inaitwaje?..au ndio ile iliyojengewa kibanda cha msonge kikubwa na ndio chanzo cha maji ya kutumia maeneo ya kondoa mjin na vijiji jiran?..ipo chin ya mamulaka ya maji?..na kuna mzee fulan analinda?
Naweza kupata coordinates za hii hot springs?
Ya mbeya inaitwaje na iko sehem gan?Mbeya pia tunayo
Busokelo karibu na rungweYa mbeya inaitwaje na iko sehem gan?
Nyingine iko Iringa mkuu. Ukiwa Kalenga ni rahisi sana kufika hapo.Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?
Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.
Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.
Ahsante.