Chuki zinzopandikizwaUzuri wa watanzania hufurahia sana serikali inapofeli
Ni kupunguza matumizi ya mafuta ila sio kuondoaIla wanangu nishati ya mafuta bado haikwepeki mpk miaka 100 tangu sasa,,
Fikiri tesla, n.k ktk gari zao betry zikiisha umeme wanawasha jenereta kuzipa power.
Umeme completely bado ni muhogo mchungu.
Wanaturudisha kulekule kwenye kula moshi njia nzima...Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.
πππWanaturudisha kulekule kwenye kula moshi njia nzima...
Hiii plan ni sahihi kbsa , sasa either haiwez kuendeshwa na Gesi.Wenye biashara zao za mafuta Msoga na genge lake tayari wameishaona upenyo! Kwanini wasiweke mfumo gesi kama mbadala wa umeme,
Eti nishati Safi ya kupikia, kampeni ya mama, kwanini sio nishati Safi ya kuendesha treni?
Tenda ya kujaza dizeri kama namuona kikwete au rostamShirika la Reli Tanzania (TRC) limeanzisha mpango wa kununua injini za dizeli ili kuhakikisha huduma ya usafiri wa reli ya kisasa (SGR) bila kikwazo endapo umeme utakatika.
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa, amethibitisha hilo na kuelezea kuwa tayari kampuni moja imebainishwa kuzalisha injini hizo.
Huduma ya reli kutoka Dar hadi Morogoro imekuwa ikikumbwa na changamoto ya umeme mara kadhaa na kusababisha abiria kukwama safarini kabla ya kufika wanakokwenda.