Huu Ni msimu gani wa Caf?Nawaona vyura wanavyopita kimya kimya kwa aibu... Watu walipokuwa wanapaza sauti Tanzania nzima kuishangilia SIMBA SC A.K.A MNYAMA MKALI, Nyie mlikuwa mnahama vituo vya kushangilia upinzani na kwa sababu ya ujuha wenu hamkujua kwamba kufanya kwetu vizuri ilikuwa njia nzuri ya kuwarudisha na nyie katika ramani ya soka... Haya ndio matokeo ya kufanya vizuri kwa Simba. Nchi imepata heshima tena Africa...
Una roho ya jiweSIjaona cha kusheherekea, mana hizo timu 4 zitakwenda kwa msimu mmoja utaofata mbele zitarudi mbili kama kawaida.
Mana haya yaliotokea safari hii musitarajie kama ndio yatakua ya kila siku.
Umeona Uzi huuu ShadeeyaBaada ya Klabu ya Simba kufika hatua ya robo fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika na timu ya Gor Mahia kutolewa katika michuano ya Shirikisho, Tanzania imefika nafasi ya 12 kutoka ya 24 kwenye viwango vya ubora Afrika
Kutokana na Tanzania kufikia nafasi hiyo, kwenye michuano ya CAF kwa mwaka 2020/21 timu mbili zitashiriki kwenye michuano ya Klabu Bingwa na mbili zitashiriki michuano ya ShirikishoView attachment 1072078
Sent using Jamii Forums mobile app
AIBU waliyonayo niya kushikwa unalamba debe ukweni... Ila watake au wasitake Simba sio level yao.Vyura hata kusema asante mnashindwa..! Au mnaona aibu[emoji23]
Ole wenu mkafungwe hovyo hovyo na kushindwa kufikia hata makundi ilhali tumewabeba kwa hisani tu
Na mkumbuke mwakani CL tunarudi tena na nguvu mpya [emoji23][emoji23][emoji23]
Iwapo Simba asipochua ubingwa atakuwa kajibeba mwenyeweNawaona vyura wanavyopita kimya kimya kwa aibu... Watu walipokuwa wanapaza sauti Tanzania nzima kuishangilia SIMBA SC A.K.A MNYAMA MKALI, Nyie mlikuwa mnahama vituo vya kushangilia upinzani na kwa sababu ya ujuha wenu hamkujua kwamba kufanya kwetu vizuri ilikuwa njia nzuri ya kuwarudisha na nyie katika ramani ya soka... Haya ndio matokeo ya kufanya vizuri kwa Simba. Nchi imepata heshima tena Africa...