Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Baada ya Klabu ya Simba kufika hatua ya robo fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika na timu ya Gor Mahia kutolewa katika michuano ya Shirikisho, Tanzania imefika nafasi ya 12 kutoka ya 24 kwenye viwango vya ubora Afrika
Kutokana na Tanzania kufikia nafasi hiyo, kwenye michuano ya CAF kwa mwaka 2020/21 timu mbili zitashiriki kwenye michuano ya Klabu Bingwa na mbili zitashiriki michuano ya Shirikisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na Tanzania kufikia nafasi hiyo, kwenye michuano ya CAF kwa mwaka 2020/21 timu mbili zitashiriki kwenye michuano ya Klabu Bingwa na mbili zitashiriki michuano ya Shirikisho
Sent using Jamii Forums mobile app