Tanzania kupeleka vikosi vyake vya kijeshi Msumbiji

Naona unahangaika kumconvince mtu akuelewe

bad sign ya weakness

kanielewa na question ya sustainability ya mission is valid noting that we are not fighting just one enemy na some of the enemies ni donors as well

hayo mengine nilishamalizana na wewe

I don’t need to prove anything because I know what transpired

Mulamula kawa Waziri this year, sisi tulienda twice last year

anyways wewe ni empty but unahangaika kuwa relevant
 
Huna kitu mkuu!
It's just a waste of time with an individual like you.
 
Baada ya Kuona Jeshi la Rwanda (Ambayo haipo SADC)limemaliza Kazi ndio Wanajifanya eti na wao wamepeleka vikosi
Pambaf kabisa
 
Unfortunately

unawaza in linear mode

tafuta any general wa JW kesho akupe shule ya nini tumefanya

mengine haya naona ni kama zile mbio zenu za kudai dsmokrasia kupitia chama kisicho na demokrasia

kazi ya last year November ni zaidi ya sweeping
Nasikia walitumiwa mizinga msituni ikawafanya nyamachoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…