MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
CC;Wakati Jimi Wanjigi akiendelea kutrend Kenya Tanzania wanapokea bil 700 kama kama hela ya kuonesha imani ya pande mbili za Barrick na Tz gov (Wakati tunasubiria the fatter cheque).
Magufuli amesema hela hiyo ikitoka tu anaomba apewe haraka,bila shaka huu na kwa uhakika kabisa huu mzigo unaenda kutumika kama gharama za mwanzo ktk SGR phase ya 3 kutoka Dodoma kwenda Tabora.mpaka sassa 850 km down bado 381 km kufika Mwanza (Tabora Isaka -133km na Isaka Mwanza -248Km).
Watu wasipokuwa makini tutafika Uganda mapema kuliko nchi yeyote ile.
We fata mambo yako banaWatanzania wakati mwingine ni kama washamba sasa OK tumepata ya nini kukaa na kujilinganisha na wakenya? tunakosea Sana kujilinganisha na Kenya au Rwanda sijui Uganda sisi tulitakiwa tuwe ligi moja na Nigeria Egypt Morocco na South Africa tuache ushamba kitu kidogo tu kufungua uzi wa majigambo tubadilike wa waTanzania wenzangu
Bill Gates katoa zile hela kwa installments kwa kipindi cha miaka mitano. Hajatoa lumpsum...Zile za biligate zilikua zaidi ya hizo si azitumie
Wenzako wanachukia kinoma ukianza kuongea namna hii.Nilimuona Dr Magufuli akiwa na furaha sana leo... Kabla ya 2020, ujenzi wa reli ya SGR unaweza ukawa umekamilika. Prof Mkumbo kasema kuwa Magu atapita kupungia mikono tu na kusalimia wananchi. No kuomba kura.
meanwhileWatanzania wakati mwingine ni kama washamba sasa OK tumepata ya nini kukaa na kujilinganisha na wakenya? tunakosea Sana kujilinganisha na Kenya au Rwanda sijui Uganda sisi tulitakiwa tuwe ligi moja na Nigeria Egypt Morocco na South Africa tuache ushamba kitu kidogo tu kufungua uzi wa majigambo tubadilike wa waTanzania wenzangu
Huu ni utani wa jadi, ni kama simba na yanga, au msukuma na mzaramo, don't take it serious,Watanzania wakati mwingine ni kama washamba sasa OK tumepata ya nini kukaa na kujilinganisha na wakenya? tunakosea Sana kujilinganisha na Kenya au Rwanda sijui Uganda sisi tulitakiwa tuwe ligi moja na Nigeria Egypt Morocco na South Africa tuache ushamba kitu kidogo tu kufungua uzi wa majigambo tubadilike wa waTanzania wenzangu
Niumie nini wakati najua hilo ni liID lako fake.nashuku umeumia
asante kwa povu la omoNiumie nini wakati najua hilo ni liID lako fake.
tupe miaka mitano mkuumeanwhile
mtafika tu ndugu msijalitupe miaka mitano mkuu
Kenya kamzidi Ethiopia sasa naanza kua na mashaka sasameanwhile
halafu msiamini sana wazungu na takwimu zao za ovyo,kipimo kikubwa cha maendeleo,universal ni watu kula na kushibamtafika tu ndugu msijali