MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wakati Jimi Wanjigi akiendelea kutrend Kenya Tanzania wanapokea bil 700 kama kama hela ya kuonesha imani ya pande mbili za Barrick na Tz gov (Wakati tunasubiria the fatter cheque).
Magufuli amesema hela hiyo ikitoka tu anaomba apewe haraka,bila shaka huu na kwa uhakika kabisa huu mzigo unaenda kutumika kama gharama za mwanzo ktk SGR phase ya 3 kutoka Dodoma kwenda Tabora.mpaka sassa 850 km down bado 381 km kufika Mwanza (Tabora Isaka -133km na Isaka Mwanza -248Km).
Watu wasipokuwa makini tutafika Uganda mapema kuliko nchi yeyote ile.
Magufuli amesema hela hiyo ikitoka tu anaomba apewe haraka,bila shaka huu na kwa uhakika kabisa huu mzigo unaenda kutumika kama gharama za mwanzo ktk SGR phase ya 3 kutoka Dodoma kwenda Tabora.mpaka sassa 850 km down bado 381 km kufika Mwanza (Tabora Isaka -133km na Isaka Mwanza -248Km).
Watu wasipokuwa makini tutafika Uganda mapema kuliko nchi yeyote ile.