Tanzania kutengeneza magari, bajaji zisizohitaji dereva

Tanzania kutengeneza magari, bajaji zisizohitaji dereva

Hii Awamu ni full Usanii (naweza kusema ni ya Wasanii) Tangia mambo ya Royal Tour mpaka kauli za ajabu ajabu.., utadhani unaangalia Sinema Zetu....

Tuanze kuhakikisha kwanza tunawaondoa hawa peasants na kuwa farmers kabla hatujalishana maneno ya ajabu (Hapo usishangae likatengwa fungu la kufanikisha hayo maigizo)

By the way Production ni Assembly tu..., kama kweli mna ideas sio mpaka mtengeneze nenda kawauziane huko Toyota na the like....
 
Hatari Sana..
 

Attachments

  • Screenshot_20230723-195242.png
    Screenshot_20230723-195242.png
    108 KB · Views: 3
Baada ya kusoma kichwa cha habari sijataka hata kusoma kilichoandikwa kwenye huu uzi sababu najua ni vichekesho tupu
 
Naona watanzania wenzangu mnabeza kwamba haitafanikiwa nataka niwakumbushe kuwa kwenye self driving vehicles(magari,bajaji, na vingine vingi) bado technology ni changa hivyo tunaweza ku leapfrogg na kufanya makubwa ni uwekezaji wa maana unahitajika hata kama ni kununua talents kutoka nchi nyingine
 
Back
Top Bottom