MkamaP,
1. Tanzania itakuwa ni Nchi ya kwanza duniani kuitukana UN kama wahuni, infact Nchi nyingine ambayo imewhai kuitishia UN ni North Korea (Banana republic nyingine kama Tanzania).
2. Nchi zote wajanja, wenye nguvu, hata wanyonge huenda kwa ki-diplomasia na kukanusha shutuma, siyo such un-diplomatic. Tanzania ingejifunza "what Lobbying" is. Kuna member wa UN Securirt council ambao unaweza ukawasiliana nao ukaomba wakusaidie. Siyo kubwabwaja matusi.
3. Katibu Mkuu wa UN ni Mkorea, anayefuatia ni Mtanzania. Hivi Membe alifanya mawasiliano kwanza na kupata mawazo kutoka kwa huyo Mtanzania? Au representative kule Umoja wa Mataifa.
This country is taken by thugs!!