Tanzania kutoa ripoti yao kuhusu Jopo la Wataalamu wa UN juu ya Congo

Tanzania kutoa ripoti yao kuhusu Jopo la Wataalamu wa UN juu ya Congo

Sasa, kama ripoti haijatoka rasmi toka UN, huoni kuwa kuna uwezekano serikali yetu itakuwa inajibu kingine na ripoti inasema vingine? Itakuwaje ripoti mbili (za serikali na UN) zitoke wakati mmoja na hiyo ya serikali iwe inajibu ripoti ya UN?

UN wameshatoa report yao na ya serikali inatolewa jtatu. ili wazi propagate pamoja na sio UN kutia uzushi.

Lakini kwa vile UN walifahamu report yao ni malicious basi waliiandika kimtegomtego ili iwe rahisi ku diverge kama wanavyo diverge .
 
Serikali ya Tanzania haihusiki na biashara ya silaha. Wewe pia ni mmoja waliojaribu kuihusisha sana serikali na biashara ya silaha kwa Waasi. Kwanini huwezi kuwa mkweli na kujua tofauti kati ya uhalifu wa mtu mwenye asili ya nchi/taifa fulani na Serikali ya nchi fulani?

kati ya watu wote duniani mnaoweza kuwazuga mimi si mmojawapo. Hivi unajua zile ndege mbili zilizotumbukia Z. Victoria zilikuwa zimebeba nini na za nani? Nyie endeleeni na uzalendo huu wa kijinga.
 
kati ya watu wote duniani mnaoweza kuwazuga mimi si mmojawapo. Hivi unajua zile ndege mbili zilizotumbukia Z. Victoria zilikuwa zimebeba nini na za nani? Nyie endeleeni na uzalendo huu wa kijinga.

Acha kuzuga jamii na "hearsay" na "assumptions". Ndege ziko ndani ya ziwa, kwanini usiwaambie hao UN watume divers watoe silaha?

Tatizo lako unaangalia hizi accusations zinakusaidia vipi kisiasa na si vinginevyo.

Unaijua minofu ya samaki?
 
kati ya watu wote duniani mnaoweza kuwazuga mimi si mmojawapo. Hivi unajua zile ndege mbili zilizotumbukia Z. Victoria zilikuwa zimebeba nini na za nani? Nyie endeleeni na uzalendo huu wa kijinga.

zilikuwa zimebeba minofu ya samaki
 
Acha kuzuga jamii na "hearsay" na "assumptions". Ndege ziko ndani ya ziwa, kwanini usiwaambie hao UN watume divers watoe silaha?

hahaha.. well.. sasa wewe unajuaje kuwa serikali haihusiki?

Tatizo lako unaangalia hizi accusations zinakusaidia vipi kisiasa na si vinginevyo.

Na wewe huangalii hiyo denial ya serikali na kuona jinsi gani inakusaidia kisiasa?

Unaijua minofu ya samaki?

Nenda Mwaloni pale uulize Mwanakijiji.. watakuambia...
 
na kabla ya kubeba minofu zilikuwa zimebeba nini mabua?

Kwa sababu lazima ndege zibebe mabua ndio zipae, zikiwa tupu zitaanguka...ubishi usiokuwa na mfupa.

Moderator: Tafadhali tuunganishie hizi threads za report ya UN.
 
Accusation zilielekezwa kwa watu binafsi ktk chama tawala na ngazi za juu za serikali (+jeshi)

Kwa nini majibu yotolewe kana kwamba serikali yetu ilihusishwa? Sipendi kabisa kusikia serikali ikitumia pesa ya walipa kodi kutetea wahalifu wa aina hii.
 
Back
Top Bottom